-
Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uistikbari na kuunga mkono mapambano ya Kiislamu
Feb 01, 2018 04:42Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyowaandalieni kwa munasaba wa siku hizi za maadhimisho ya kuingia katika mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya 1979. Katika makala hii ya leo tutaangazia kadhia ya 'Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uiskitabiri wa kimataifa na kuunga mkono muqawama au mapambano ya Kiislamu.
-
Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini na Msingi wa Utawala wa Faqihi
Jan 31, 2018 05:17Alfajiri ya tarehe 12 Bahman 1357 Hijria Shamsia (11 Februari 1979) ilikuwa siku ya matarajio makubwa na kusibiri kwa hamu kulikoandamana na wasiwasi na hofu kubwa.
-
Ayatullah Khatami: Adui anafanya njama za kulivunja moyo taifa la Iran
Jan 26, 2018 13:21Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa njama za maadui wa Uislamu sasa zimeelekezwa katika mitandao ya kijamii na wanafanya jitihada za kulivunja moyo na kulikosesha matumaini taifa la Iran.
-
Jumamosi, 13 Januari 2018
Jan 13, 2018 00:16Leo ni Jumamosi tarehe 25 Mfunguo Saba Rabiuthani 1439 Hijria sawa na tarehe 13 Januari 2018 Miladia.
-
Jumatano, Oktoba 4, 2017
Oct 03, 2017 22:48Leo ni Jumatano tarehe 13 Muharram 1439 Hijria sawa na 4 Oktoba 2017.
-
Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017
Oct 03, 2017 00:29Leo ni Jumanne tarehe 12 Muharram 1439 Hijria sawa na 3 Oktoba 2017.
-
Jumanne 13 Juni, 2017
Jun 12, 2017 21:53Leo ni Jumanne tarehe 18 Ramadhani 1438 Hijiria sawa na tarehe 13 Juni 2017.
-
Magaidi washambulia Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini
Jun 07, 2017 03:18Watu wawili akiwemo afisa wa usalama wameripotiwa kuuawa huku watu wengine wanane wakijeruhiwa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia majengo ya Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini MA, katika mji mkuu Tehran.
-
Nyendo za Mtume SAW katika maisha ya Imam Khomeini MA
Jun 05, 2017 04:57Assalaam Alaykum wasikilizaji wapenzi, karibuni kujiunga nami kwenye kipindi hiki maalumu ambacho kimetayarishwa kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kufariki dunia Imam Ruhullah Mussawi al Khomeini (MA) mwasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran. Ni matumaini yangu kuwa mtakuwa nami hadi tamati ya kipindi hiki, karibuni.
-
Leo ni Khordad 15, siku ya kuadhimisha harakati ya kihistoria ya Imam Khomeini MA
Jun 04, 2017 23:55Jumatatu ya leo inasadifiana na tarehe 15 Khordad kwa kalenda ya Kiirani ya Hijria Shamsia, ni siku ya kukumbuka na kuadhimisha harakati ya kihistoria ya Imam Khomeini MA ya tarehe 5 Juni, 1963 Milaadia.