-
Imarati yafungua upya ubalozi wake nchini Syria baada ya miaka 7
Dec 27, 2018 11:34Umoja wa Falme za Kiarabu umefungua tena ubalozi wake katika mji mkuu wa Syria, Damascus, baada ya kupita zaidi ya miaka saba tangu ulipoanza mgogoro wa ndani katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Qatar: Saudi Arabia na Imarati ndio wahatarishaji wakuu wa amani ya Mashariki ya Kati
Dec 17, 2018 23:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu ndio wahatarishaji wakuu wa utulivu na usalama wa nchi za Mashariki ya Kati na lengo lao kuu ni kuvunja amani ya nchi zote za eneo hilo.
-
Rais wa zamani wa Tunisia: Saudia na Imarati ni hatari kwa demokrasia
Nov 30, 2018 11:38Rais wa zamani wa Tunisia ametahadharisha kuhusu njama zinazofanywa na Saudi Arabia na Imarati kwa ajili ya kuingilia uchaguzi mkuu ujao nchini humo.
-
Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusu kushadidi jinai za Wasaudia nchini Yemen
Nov 14, 2018 02:38Saudi Arabia kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati zinaendesha mashambulizi ya kikatili dhidi ya nchi maskini ya Kiarabu tangu mwezi Machi 2015 kwa msaada wa madola ya kibeberu hasa Marekani.
-
Tume ya maulama Saudia: Kufanya uhusiano na Israel ni kuyafanyia hiyana matukufu ya Palestina
Oct 30, 2018 11:09Kamati ya maulama nchini Saudi Arabia imetangaza kwamba, kufanya uhusiano mwema na utawala haramu wa Kizayuni kwa aina yoyote ile, ni kuyafanya hiyana kubwa matukufu ya Palestina.
-
Hamas yalaani kitendo cha Imarati cha kumkaribisha Abu Dhabi, waziri Mzayuni
Oct 30, 2018 01:11Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kitendo cha Umoja wa Falme za Kiarabu cha kumkaribisha mjini Abu Dhabi waziri wa utawala wa Kizayuni ambao kila leo unawaua shahidi wananchi wasio na hatia wa Palestina ni kitendo cha aibu.
-
Seneta wa Marekani ataka uchunguzi kuhusu kuuliwa kigaidi viongozi wa Yemen
Oct 23, 2018 03:24Bi Elizabeth Warren, mjumbe katika Baraza la Senate la Marekani ameiandikia barua wizara ya mahakama ya nchi hiyo na kutaka kufanyike uchunguzi kuhusu ripoti zinazosema kwamba, maveterani wa kivita na wanajeshi wastaafu wa Marekani wanatumiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuua kigaidi viongozi wa kisiasa wa Yemen.
-
'Saudia na Imarati zimehusika na shambulio la kigaidi la Ahvaz nchini Iran'
Sep 23, 2018 10:41Katibu wa Baraza la Kitaifa la Wairani wa Marekani linalojulikana kwa jina la NIAC amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zimehusika katika shambulizi la kigaidi lililotokea jana Jumamosi katika makao makuu ya mkoa wa Khuzistan wa kusini magharibi mwa Iran.
-
Imarati yaondoa kikosi cha mwisho cha askari wake Yemen
Sep 23, 2018 04:22Kikosi cha mwisho cha wanajeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu kilichokuwa kikihudumu chini ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika mkoa wa Mahran nchini Yemen kimewasili nyumbani baada ya serikali ya Abu Dhabi kukiagizi kiondoke katika nchi hiyo maskini ya Kiarabu.
-
Seif al Islam Gaddafi akutana na viongozi wa ngazi za juu wa Imarati na Misri
Sep 17, 2018 10:57Baadhi ya duru za ngazi za juu za Libya na Misri zimetangaza kuwa, Seif al Islam, mtoto wa kiongozi wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, amekutana na viongozi wawili wakubwa wa Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri.