Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ijumaa, 13 Februari, 2026

    Ijumaa, 13 Februari, 2026

    Feb 13, 2026 02:24

    Leo ni Ijumaa 24 Sha'ban 1447 Hijria sawa na 13 Februari 2026.

  • Mkuu wa IAEA: Iran-mwanachama wa NPT, ina haki ya kurutubisha urani

    Mkuu wa IAEA: Iran-mwanachama wa NPT, ina haki ya kurutubisha urani

    Feb 13, 2026 02:04

    Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), amesema katika mahojiano na gazeti la Financial Times kwamba, Iran kama nchi iliyotia saini Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), ina haki ya kurutubisha urani.

  • Pezeshkian apongeza hamasa kubwa ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya tarehe 22 Bahman

    Pezeshkian apongeza hamasa kubwa ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya tarehe 22 Bahman

    Feb 12, 2026 11:24

    Rais Masoud Pezeshkian amewapongeza na kuwashukuru wananchi wa Iran kwa kujitokeza kwa wingi "katika hamasa ya aina yake" katika maandamano ya kitaifa kote nchini ya maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Admeri Shamkhani asisitiza: Mpango wa makombora wa Iran hautajadiliwa katu

    Admeri Shamkhani asisitiza: Mpango wa makombora wa Iran hautajadiliwa katu

    Feb 12, 2026 06:31

    Uwezo wa makombora ya balestiki ya Iran ni "mstari mwekundu" ambao hautawekwa katu kwenye meza ya mazungumzo. Hayo yameelezwa na afisa wa ngazi ya juu wa ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Baada ya mkutano wake na Netanyahu, Trump asema mazungumzo na Iran inapasa yaendelee

    Baada ya mkutano wake na Netanyahu, Trump asema mazungumzo na Iran inapasa yaendelee

    Feb 12, 2026 06:31

    Rais wa Marekani Donald Trump ameeleza baada ya kukutana na waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba mkutano huo ulikuwa "mzuri sana" na akasema: "nimesisitiza kwamba mazungumzo na Iran inapasa yaendelee."

  • Kengele ya hatari ya Russia kuhusu matokeo mabaya ya chokochoko yoyote dhidi ya Iran

    Kengele ya hatari ya Russia kuhusu matokeo mabaya ya chokochoko yoyote dhidi ya Iran

    Feb 11, 2026 10:29

    Serikali ya Russia imeonya kuhusu matokeo mabaya ya kuanzisha chokochoko yoyote dhidi ya Iran.

  • Pezeshkian: Dunia ishuhudie jinsi Wairani walivyojitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya Bahman 22 ili kuihami nchi yao

    Pezeshkian: Dunia ishuhudie jinsi Wairani walivyojitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya Bahman 22 ili kuihami nchi yao

    Feb 11, 2026 09:30

    Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa dunia inapasa kuona jinsi mailioni ya wananchi wa Iran walivyomiminika mitaani katika maandamano ya mamilioni ya wananchi kote nchini ili kulinda mapinduzi yao, kutii uongozi wa mfumo, na kutetea thamani na nchi yao ya kujivunia.

  • Kiongozi Muadhamu awataka Wairani kuwakatisha tamaa maadui Bahman 22

    Kiongozi Muadhamu awataka Wairani kuwakatisha tamaa maadui Bahman 22

    Feb 09, 2026 10:50

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito kwa taifa la Iran kuonyesha irada, azma thabiti na kusimama kidete, kwa kushiriki kwa wingi katika matembezi na mijumuiko ya kuadhimisha miaka 47 ya Mapinduzi ya Kiislamu, akisema kuwa umoja huo utamkatisha tamaa adui wa nchi hii.

  • Spika: Iran inajiimarisha kijeshi sambamba na diplomasia

    Spika: Iran inajiimarisha kijeshi sambamba na diplomasia

    Feb 09, 2026 10:11

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad-Bagher Ghalibaf amesema Jamhuri ya Kiislamu inafuatilia diplomasia sanjari na kuimarisha uwezo wake wa kiulinzi na kijeshi ili iweze kukabiliana na maadui zake.

  • Kwa nini China inatetea

    Kwa nini China inatetea "haki ya nyuklia" ya Iran?

    Feb 09, 2026 02:23

    China kwa mara nyingine tena imesisitiza juu ya kutetea haki ya nyuklia ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS