Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • "Mapambano ya Wapalestina yameingia katika marhala mpya"

    Apr 10, 2022 22:05

    Mkuu wa Kituo cha Intifadha ya Palestina na Quds katika Baraza la Kuratibu Tablighi ya Kiislamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameingia katika marhala mpya.

  • Iran na Iraq zatoa mwito wa kutekelezwa makubaliano ya pande mbili

    Iran na Iraq zatoa mwito wa kutekelezwa makubaliano ya pande mbili

    Apr 08, 2022 22:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa Iraq, Fuad Hossein wamesisitizia haja ya kuharakishwa mchakato wa kutekelezwa makubaliano mbalimbali yaliyofikiwa huko nyuma baina ya nchi mbili hizi jirani za Kiislamu.

  • Jamhromi: Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari Rwanda

    Jamhromi: Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari Rwanda

    Apr 07, 2022 22:57

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.

  • Iran yasafirisha nje dozi milioni 4 za chanjo za COVID-19

    Iran yasafirisha nje dozi milioni 4 za chanjo za COVID-19

    Apr 06, 2022 21:28

    Mkuu wa Shirika la Dawa na Chakula la Iran (FDA) amesema Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kuuza nje ya nchi dozi milioni nne za chanjo za kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 zilizozalishwa hapa nchini.

  • Iran yapongeza marufuku ya kilimo na usafirishaji wa mihadarati kutoka Afghanistan

    Iran yapongeza marufuku ya kilimo na usafirishaji wa mihadarati kutoka Afghanistan

    Apr 06, 2022 06:14

    Msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Rasoul Mousavi, Jumatatu iliyopita aliandika kwenye mtandao wa Twitter kwamba:

  • Iran haiwezi kusalimu amri mbele ya kujitakia makuu Marekani

    Iran haiwezi kusalimu amri mbele ya kujitakia makuu Marekani

    Apr 04, 2022 22:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu katu haiwezi kusalimu amri mkabala wa uchu, tamaa na kujitakia makuu Marekani.

  • Rais wa Iran azitaka nchi za eneo zisipuuze njama za kibeberu za US-Israel

    Rais wa Iran azitaka nchi za eneo zisipuuze njama za kibeberu za US-Israel

    Apr 03, 2022 22:06

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi yoyote katika eneo la Asia Magharibi itayopuuza njama na malengo ya kibeberu ya Marekani na utawala wa Kizayuni, itakuwa imepuuza maslahi ya taifa lake, na itaandamwa na ghadhabu za mataifa ya Kiislamu.

  • Iran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi

    Iran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi

    Apr 02, 2022 22:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ina azma thabiti na imejitolea kwa dhati kuona bara la Afrika linafanikiwa na kustawi.

  • Jahromi: Marekani inasalia kuwa adui wa kudumu wa taifa la Iran

    Jahromi: Marekani inasalia kuwa adui wa kudumu wa taifa la Iran

    Apr 02, 2022 08:35

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vipya vya Washington dhidi ya raia wa Iran vinaonyesha wazi kuwa, Marekani inasalia kuwa adui wa kudumu wa taifa hili.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China Wasisitiza Udharura wa Kukabiliana na Vikwazo Haramu

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China Wasisitiza Udharura wa Kukabiliana na Vikwazo Haramu

    Apr 02, 2022 03:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa China, Wang Yi wamejadili masuala ya pande mbili, kieneo na kimataifa pembezoni mwa mkutano wa tatu wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi jirani na Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS