-
"Mapambano ya Wapalestina yameingia katika marhala mpya"
Apr 10, 2022 22:05Mkuu wa Kituo cha Intifadha ya Palestina na Quds katika Baraza la Kuratibu Tablighi ya Kiislamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameingia katika marhala mpya.
-
Iran na Iraq zatoa mwito wa kutekelezwa makubaliano ya pande mbili
Apr 08, 2022 22:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa Iraq, Fuad Hossein wamesisitizia haja ya kuharakishwa mchakato wa kutekelezwa makubaliano mbalimbali yaliyofikiwa huko nyuma baina ya nchi mbili hizi jirani za Kiislamu.
-
Jamhromi: Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari Rwanda
Apr 07, 2022 22:57Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.
-
Iran yasafirisha nje dozi milioni 4 za chanjo za COVID-19
Apr 06, 2022 21:28Mkuu wa Shirika la Dawa na Chakula la Iran (FDA) amesema Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kuuza nje ya nchi dozi milioni nne za chanjo za kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 zilizozalishwa hapa nchini.
-
Iran yapongeza marufuku ya kilimo na usafirishaji wa mihadarati kutoka Afghanistan
Apr 06, 2022 06:14Msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Rasoul Mousavi, Jumatatu iliyopita aliandika kwenye mtandao wa Twitter kwamba:
-
Iran haiwezi kusalimu amri mbele ya kujitakia makuu Marekani
Apr 04, 2022 22:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu katu haiwezi kusalimu amri mkabala wa uchu, tamaa na kujitakia makuu Marekani.
-
Rais wa Iran azitaka nchi za eneo zisipuuze njama za kibeberu za US-Israel
Apr 03, 2022 22:06Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi yoyote katika eneo la Asia Magharibi itayopuuza njama na malengo ya kibeberu ya Marekani na utawala wa Kizayuni, itakuwa imepuuza maslahi ya taifa lake, na itaandamwa na ghadhabu za mataifa ya Kiislamu.
-
Iran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi
Apr 02, 2022 22:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ina azma thabiti na imejitolea kwa dhati kuona bara la Afrika linafanikiwa na kustawi.
-
Jahromi: Marekani inasalia kuwa adui wa kudumu wa taifa la Iran
Apr 02, 2022 08:35Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vipya vya Washington dhidi ya raia wa Iran vinaonyesha wazi kuwa, Marekani inasalia kuwa adui wa kudumu wa taifa hili.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China Wasisitiza Udharura wa Kukabiliana na Vikwazo Haramu
Apr 02, 2022 03:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa China, Wang Yi wamejadili masuala ya pande mbili, kieneo na kimataifa pembezoni mwa mkutano wa tatu wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi jirani na Afghanistan.