Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mapambano yamezuia kusahaulika kadhia ya Quds

    Mapambano yamezuia kusahaulika kadhia ya Quds

    May 05, 2021 07:09

    Mkuu wa Kongamano la Pili la Kimataifa la Quds Tukufu amesema Marekani ilijaribu kusambaratisha kadhia ya ukombozi wa Quds (Jerusalem) kupitia njama mpya katika eneo lakini imefeli kutokana na kuwepo mhimili wa muqawama au mapambano ya Kiislamu.

  • Iran: Mazungumzo ya Vienna yatasitishwa US ikiendelea kushupalia vikwazo

    Iran: Mazungumzo ya Vienna yatasitishwa US ikiendelea kushupalia vikwazo

    May 05, 2021 03:06

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mazungumzo ya Tehran na kundi la 4+1 yanayoendelea huko Vienna, Austria yatasimamishwa iwapo Marekani itaendelea kushupalia suala la kuwekewa vikwazo taifa hili.

  • Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    May 05, 2021 03:02

    Mshauri maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Iran ina stratejia maalumu, thabiti na kabambe ya kuwaunga mkono na kuwasaidia wananchi wa Palestina.

  • Iran: Madai mapya ya wabunge wa Marekani yanalenga kuathiri mazungumzo ya JCPOA

    Iran: Madai mapya ya wabunge wa Marekani yanalenga kuathiri mazungumzo ya JCPOA

    May 04, 2021 07:22

    Mjumbe mmoja wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, msimamo mpya wa wabunge 220 wa Marekani kuhusu haki za binadamu nchini Iran unalenga kutoa taathira hasi kwa mazungumzo ya JCPOA.

  • Raisi: Shahidi Soleimani, chimbuko la ushindi mkabala wa maadui

    Raisi: Shahidi Soleimani, chimbuko la ushindi mkabala wa maadui

    May 03, 2021 21:04

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) alikuwa chanzo cha ushindi mtawalia dhidi ya maadui.

  • Iran ina nafasi muhimu katika kudumisha usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Iran ina nafasi muhimu katika kudumisha usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Apr 30, 2021 06:46

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina nafasi muhimu katika kudumisha usalama katika eneo zima la Ghuba ya Uajemi. Hayo yamesemwa na Shahriar Heidari Naibu Mwenyekiti wa Tume ya Usalama wa Taifa katika Bunge la Iran.

  • Kubadilika kikamilifu misimamo ya Saudia kuhusiana na Iran; sababu zake na jinsi kulivyopokelewa

    Kubadilika kikamilifu misimamo ya Saudia kuhusiana na Iran; sababu zake na jinsi kulivyopokelewa

    Apr 30, 2021 04:28

    Mohammad bin Salman, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, amebadilisha kikamilifu na waziwazi msimamo wake kuhusiana na Iran kwa kusema: Iran ni nchi jirani; na Riyadh ina matumaini kwamba itaweza kuwa na uhusiano mzuri na Tehran.

  • Imarati yaunga mkono msimamo mpya wa Saudia kuhusu Iran

    Imarati yaunga mkono msimamo mpya wa Saudia kuhusu Iran

    Apr 29, 2021 22:42

    Mrithi wa kiti cha ufalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ameelezea kufurahishwa kwake na msimamo mpya wa Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kuhusu kuwa na uhusiano mzuri na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Biden akariri madai yasiyo na msingi kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran

    Biden akariri madai yasiyo na msingi kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran

    Apr 29, 2021 07:39

    Rais Joe Biden wa Marekani amekariri tena madai yake yasiyo na msingi kuhusiana na miradi ya kuzalisha niishati ya nyuklia nchini Iran.

  • Qatar yakaribisha kwa mikono miwili msimamo wa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia kuhusu Iran

    Qatar yakaribisha kwa mikono miwili msimamo wa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia kuhusu Iran

    Apr 29, 2021 03:36

    Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar amekaribisha kwa mikono miwili msimamo mpya wa Mohammad bin Salman mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia wa kuonyesha hamu iliyonayo nchi yake ya kuanzisha tena uhusiano na Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS