Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rouhani: JCPOA imeipa uhalali sekta ya nyuklia ya Iran

    Rouhani: JCPOA imeipa uhalali sekta ya nyuklia ya Iran

    Apr 10, 2021 08:03

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema kupasishwa kwa makubaliano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA kuliipa uhalali kamili wa kisheria sekta ya nyuklia ya taifa hili.

  • Iran yazindua mafanikio 133 katika Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia

    Iran yazindua mafanikio 133 katika Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia

    Apr 10, 2021 08:01

    Mafanikio 133 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa teknolojia ya nyuklia yamezinduliwa leo katika sherehe maalumu zilizofanyika kwa njia ya video kwa mnasaba wa Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia.

  • Mazungumzo ya Vienna: Njia pekee ya kunusuru mapatano ya JCPOA ni kuondoa vikwazo vyote

    Mazungumzo ya Vienna: Njia pekee ya kunusuru mapatano ya JCPOA ni kuondoa vikwazo vyote

    Apr 10, 2021 06:40

    Kikao cha Pili cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA kimemalizika huko Vienna na pande mbili ziimeafikiana kuendeleza mazungumzo hayo mahsusi kwa lengo la kuandaa faharasa ya hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuodoa vikwazo na pia kujadili miradi ya nyuklia ya Iran kwa lengo la kuhuisha mapatano hayo.

  • Iran: Kuchelewa kutuondolea vikwazo ni kwa maslahi ya mradi wetu wa nyuklia

    Iran: Kuchelewa kutuondolea vikwazo ni kwa maslahi ya mradi wetu wa nyuklia

    Apr 10, 2021 03:33

    Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuchelewesha kuliondolea taifa hili vikwazo ni kwa maslahi ya mradi wa nyuklia wenye malengo ya amani wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Rouhani: Kuimarisha mifumo ya kambi kadhaa ni katika vipaumbele vya sera za nje za Iran

    Rouhani: Kuimarisha mifumo ya kambi kadhaa ni katika vipaumbele vya sera za nje za Iran

    Apr 08, 2021 22:11

    Rais Hassan Rouhani amesema kuimarisha mifumo ya uhusiano wa kambi kadhaa ni katika vipaumbele muhimu vya sera za nje za Iran na akasisitiza kwamba, nchi wanachama wa D8 zitapaswa kufanya machaguo muhimu katika kipindi cha baada ya janga la corona.

  • Rouhani: Iran ina fakhari kuwa imejitosheleza katika sayansi na teknolojia

    Rouhani: Iran ina fakhari kuwa imejitosheleza katika sayansi na teknolojia

    Apr 08, 2021 08:46

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza hatua ambazo zimechukuliwa nchini kufukia kujitosheleza katika sekta mbali mbali za sayansi na teknolojia hasa sekta ya afya.

  • Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran

    Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran

    Apr 08, 2021 03:37

    Kikao cha 18 cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA kilifanyika juzi Jumanne huko Vienna mji mkuu wa Austria kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa kundi la 4+1 na pia Iran. Nchi wanachama wa mapatano ya JCPOA baada ya majadiliano na kuchunguza mapatano hayo zimekubaliana kuendeleza mashauriano katika ngazi ya kitaalamu ili kuiondolea Iran vikwazo.

  • Rouhani: Leo tunashuhudia msimu mpya wa kuhuishwa mapatano ya JCPOA

    Rouhani: Leo tunashuhudia msimu mpya wa kuhuishwa mapatano ya JCPOA

    Apr 07, 2021 22:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, leo tunashuhudia mwanzo mpya wa kuhuishwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA. Akizungumza Jumatano mjini Tehran katika kikao cha baraza la mawaziri, Rouhani amesema nchi zote ambazo zinafungamana na mapatano ya JCPOA zinakutana Vienna Austria.

  • Araqchi: Mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA Vienna ni chanya

    Araqchi: Mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA Vienna ni chanya

    Apr 07, 2021 03:17

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa ameashiria kuhusu mkutano wa jana Jumanne mjini Vienna wa Kamisheni ya Pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa, muelekeo wa kikao hicho ni chanya na wenye kutia matumaini.

  • Ajenda ya kikao cha JCPOA Vienna itakuwa ya kujadili masuala ya kisheria

    Ajenda ya kikao cha JCPOA Vienna itakuwa ya kujadili masuala ya kisheria

    Apr 05, 2021 03:29

    Afisa mmoja husika katika ujumbe unaoiwakilisha Iran katika kikao cha kamati ya pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kitakachofanyika kesho mjini Vienna amesema, ajenda ya mazungumzo ya kamati hiyo itahusu majadiliano juu ya masuala ya kisheria tu kuhusu namna pande mbili zitakavyotekeleza majukumu yao na kupatikana uthibitisho wa utekelezaji huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS