-
Rouhani: JCPOA imeipa uhalali sekta ya nyuklia ya Iran
Apr 10, 2021 08:03Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema kupasishwa kwa makubaliano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA kuliipa uhalali kamili wa kisheria sekta ya nyuklia ya taifa hili.
-
Iran yazindua mafanikio 133 katika Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia
Apr 10, 2021 08:01Mafanikio 133 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa teknolojia ya nyuklia yamezinduliwa leo katika sherehe maalumu zilizofanyika kwa njia ya video kwa mnasaba wa Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia.
-
Mazungumzo ya Vienna: Njia pekee ya kunusuru mapatano ya JCPOA ni kuondoa vikwazo vyote
Apr 10, 2021 06:40Kikao cha Pili cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA kimemalizika huko Vienna na pande mbili ziimeafikiana kuendeleza mazungumzo hayo mahsusi kwa lengo la kuandaa faharasa ya hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuodoa vikwazo na pia kujadili miradi ya nyuklia ya Iran kwa lengo la kuhuisha mapatano hayo.
-
Iran: Kuchelewa kutuondolea vikwazo ni kwa maslahi ya mradi wetu wa nyuklia
Apr 10, 2021 03:33Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuchelewesha kuliondolea taifa hili vikwazo ni kwa maslahi ya mradi wa nyuklia wenye malengo ya amani wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Rouhani: Kuimarisha mifumo ya kambi kadhaa ni katika vipaumbele vya sera za nje za Iran
Apr 08, 2021 22:11Rais Hassan Rouhani amesema kuimarisha mifumo ya uhusiano wa kambi kadhaa ni katika vipaumbele muhimu vya sera za nje za Iran na akasisitiza kwamba, nchi wanachama wa D8 zitapaswa kufanya machaguo muhimu katika kipindi cha baada ya janga la corona.
-
Rouhani: Iran ina fakhari kuwa imejitosheleza katika sayansi na teknolojia
Apr 08, 2021 08:46Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza hatua ambazo zimechukuliwa nchini kufukia kujitosheleza katika sekta mbali mbali za sayansi na teknolojia hasa sekta ya afya.
-
Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran
Apr 08, 2021 03:37Kikao cha 18 cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA kilifanyika juzi Jumanne huko Vienna mji mkuu wa Austria kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa kundi la 4+1 na pia Iran. Nchi wanachama wa mapatano ya JCPOA baada ya majadiliano na kuchunguza mapatano hayo zimekubaliana kuendeleza mashauriano katika ngazi ya kitaalamu ili kuiondolea Iran vikwazo.
-
Rouhani: Leo tunashuhudia msimu mpya wa kuhuishwa mapatano ya JCPOA
Apr 07, 2021 22:05Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, leo tunashuhudia mwanzo mpya wa kuhuishwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA. Akizungumza Jumatano mjini Tehran katika kikao cha baraza la mawaziri, Rouhani amesema nchi zote ambazo zinafungamana na mapatano ya JCPOA zinakutana Vienna Austria.
-
Araqchi: Mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA Vienna ni chanya
Apr 07, 2021 03:17Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa ameashiria kuhusu mkutano wa jana Jumanne mjini Vienna wa Kamisheni ya Pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa, muelekeo wa kikao hicho ni chanya na wenye kutia matumaini.
-
Ajenda ya kikao cha JCPOA Vienna itakuwa ya kujadili masuala ya kisheria
Apr 05, 2021 03:29Afisa mmoja husika katika ujumbe unaoiwakilisha Iran katika kikao cha kamati ya pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kitakachofanyika kesho mjini Vienna amesema, ajenda ya mazungumzo ya kamati hiyo itahusu majadiliano juu ya masuala ya kisheria tu kuhusu namna pande mbili zitakavyotekeleza majukumu yao na kupatikana uthibitisho wa utekelezaji huo.