Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Uturuki yaihakikishia Iran, mashambulizi yake Syria ni ya muda mfupi

    Uturuki yaihakikishia Iran, mashambulizi yake Syria ni ya muda mfupi

    Oct 08, 2019 04:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amemhakikishia mwenzake wa Iran kwamba, mashambulizi ya jeshi la nchi hiyo huko kaskazini mwa Syria yaliyoanza Jumatatu usiku ni ya muda mfupi.

  • Rabii: Iran inaendeleza juhudi zake za kuimarisha amani na urafiki katika eneo

    Rabii: Iran inaendeleza juhudi zake za kuimarisha amani na urafiki katika eneo

    Oct 08, 2019 01:05

    Msemaji wa serikali ya Iran amesisitiza kuwa wale wanaotaka mabaya wafahamu kuwa Iran haitasitisha jitihaa zake za kuendeleza amani na urafiki na majirani zake.

  • Ulimwengu wa Michezo, Oktoba 7

    Ulimwengu wa Michezo, Oktoba 7

    Oct 07, 2019 04:26

    Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa....

  • Iran kuendelea kupunguza uwajibikaji wake kwa JCPOA

    Iran kuendelea kupunguza uwajibikaji wake kwa JCPOA

    Oct 06, 2019 04:34

    Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema kuwa, awamu ya nne ya kupunguza Iran kutekeleza ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA itaanza kutekelezwa mwezi ujao kama ilivyopangwa na kwamba kwa sasa hakuna kituo chochote kilichobadilika.

  • Hamas: Njama ya kuuawa Jenerali Soleimani wa Iran ni kwa maslahi ya Israel

    Hamas: Njama ya kuuawa Jenerali Soleimani wa Iran ni kwa maslahi ya Israel

    Oct 05, 2019 08:26

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali njama iliyotibuka ya nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kutaka kumuua Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH), Meja Jenerali Qassem Soleimani.

  • Iran kuzindua satalaiti tatu mpya za Zafar, Pars 1 na Nahid 1

    Iran kuzindua satalaiti tatu mpya za Zafar, Pars 1 na Nahid 1

    Oct 05, 2019 04:33

    Mkuu wa Shirika la Anga za Mbali la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran itakamilisha utengenezaji wa satalaiti tatu mpya katika kipindi cha miezi mitatu ijayo.

  • Ripoti: Muungano wa Marekani-Saudia-Israel dhidi ya Iran unadorora katika mgogoro

    Ripoti: Muungano wa Marekani-Saudia-Israel dhidi ya Iran unadorora katika mgogoro

    Oct 05, 2019 03:15

    Muungano dhidi ya Iran ambao umeundwa na watawala wa Marekani, Israel na Saudi Arabia unadorora huku kila mmoja wa watawala wa nchi hizo akikumbwa na matatizo makubwa.

  • Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia: Iran imepiga hatua katika njia sahihi

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia: Iran imepiga hatua katika njia sahihi

    Oct 04, 2019 23:09

    Mkurugenzi Mkuu wa muda wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ameeleza kuridhishwa kwake na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na taasisi hiyo ya kimataifa.

  • Salami: Adui hana ujasiri wa kufyatua risasi hewa dhidi ya Iran

    Salami: Adui hana ujasiri wa kufyatua risasi hewa dhidi ya Iran

    Oct 03, 2019 22:10

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema adui wa taifa hili hana uthubutu wala ujasiri wa kufyatua hata risasi moja hewa ndani ya mipaka ya nchi hii.

  • IRGC yatibua njama ya Waarabu na Wazayuni ya kumuua Jenerali Soleimani

    IRGC yatibua njama ya Waarabu na Wazayuni ya kumuua Jenerali Soleimani

    Oct 03, 2019 10:22

    Kitengo cha Intelijensia cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) nchini Iran kimetibua njama za nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel za kumuua Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la SEPAH, Meja Jenerali Qassem Soleimani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS