-
Filamu ya matukio: Bin Salman yuko tayari kuitambua rasmi Israel ikiwa Marekani itamsaidia kuishinda Iran
Oct 02, 2019 00:44Filamu mpya ya matukio ya kweli imefichua kuwa, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammed Bin Salman, maarufu kama MbS alimuahidi Rais Donald Trump wa Marekani kuwa nchi yake itautambua rasmi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, ikiwa Marekani itausaidia utawala wa Aal Saud "kuishinda Iran na kuidhibiti Mashariki ya Kati."
-
Nchi nyingine 8 za Ulaya zajiunga na mfumo wa INSTEX
Oct 01, 2019 04:29Afisa msaidizi wa Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema nchi 8 zaidi za Ulaya zimejiunga rasmi na mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya (INSTEX).
-
Rouhani: Iran inataka kuimarisha uhusiano na majirani zake
Sep 30, 2019 23:52Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inatoa kipaumbele katika siasa zake za kigeni suala la kuimarisha ushirikiano na majirani zake.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Uchokozi wowote wa adui utapata jibu kali
Sep 29, 2019 23:48Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema chokochoko yoyote ya adui itapokea jibu kali kutoka kwa vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kiislamu.
-
JCPOA haina maana iwapo haiwafaidi na chochote wananchi wa Iran
Sep 29, 2019 23:06Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hayana faida yoyote iwapo wananchi wa Iran hawastafidi chochote kutokana na mapatano hayo ya kimataifa.
-
Ukosoaji mkali wa Sergey Lavrov kuhusiana na miamala haribifu ya Marekani dhidi ya mapatano ya JCPO na Ghuba ya Uajemi
Sep 29, 2019 23:06Hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea Iran vikwazo vikali ambavyo vilikuwa havijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, na baada ya hapo kuzidisha uwepo wake wa kijeshi katika Ghuba ya Uajemi ambao umeshadidisha mizozo katika eneo hilo la kistratijia, ni mambo ambayo yameizidishia wasi wasi serikali ya Russia.
-
Zarif: Iwapo Marekani inataka mazungumzo na Iran lazima itekeleze ahadi zake
Sep 29, 2019 03:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran haitaacha mustakabali wa uchumi na wananchi wake utegemee mkutano wa kimaonyesho na Rais Donald Trump wa Marekani. Ameongeza kuwa, kama ambavyo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alivyosema, 'iwapo Mareknai inataka kufanya mazungumzo na Iran, ni lazima kwanza itekeleze ahadi zake na isitishe vikwazo.'
-
Brigedia Jenerali Nilforooshan: Israel imezungukwa na Iran kila upande
Sep 28, 2019 08:53Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umezingirwa kila upande na Iran na kuuonya utawala huo haramu dhidi ya kuchukua hatua yoyote ya kichokozi dhidi ya taifa hili.
-
Nchi za Ulaya zatishia kujiondoa kwenye makubaliano ya JCPOA
Sep 28, 2019 08:06Nchi za Ulaya zimetishia kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo Iran eti haitafungamana kikamilifu na mapatano hayo.
-
Iran yakosoa ukatili wa Marekani wa kumzuia Zarif kumtembelea balozi hospitalini
Sep 28, 2019 07:41Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amekosoa vikali kitendo cha kikatili cha Marekani cha kumzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kumtembelea Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ambaye amelazwa hospitalini mjini New York.