-
Nukta nne muhimu za kushindwa vikao vya Makka
Jun 05, 2019 07:58Katika hali ambayo siku nne zimepita tokea kufanyika vikao vya Makka lakini bado matokeo mabaya na hata yaliyo kinyume na matarajio ya waandaaji wa vikao hivyo yangali yanaendelea kuakisiwa kieneo na kimataifa.
-
Iran yaliasa jeshi la Sudan likabidhi madaraka kwa raia
Jun 04, 2019 09:05Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kueleza kusikitishwa kwake na machafuko ya kisiasa nchini Sudan, imetoa mwito kwa Baraza la Mpito la Kijeshi kukabidhi madaraka kwa raia kama wanayoshinikiza wananachi wanaoandamana kwa miezi kadhaa sasa.
-
Iran na Korea Kusini zasisitizia kutatua matatizo ya kibenki kati yao
Jun 04, 2019 08:38Waziri wa Uchumi wa Korea Kusini amekutana na Gavana wa Benki Kuu ya Iran na kusisitizia umuhimu wa kuzidishwa uhusiano wa pande mbili na kufanya jitihada zaidi kwa ajili ya kutatua matatizo ya kibenki.
-
Iran yaionya Saudi Arabia kutokana na chokochoko zake dhidi ya Tehran
Jun 04, 2019 02:39Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa ameionya Saudi Arabia iache kushirikiana na Marekani katika chokochoko zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran inatazamia kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr Jumatano ya Juni 5
Jun 03, 2019 06:18Wananchi Waislamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanatazamiwa kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr siku ya Jumatano, Juni 5.
-
IRGC: Kwa uwezo wake mkubwa, Iran itapita kipini cha vitisho na vikwazo
Jun 03, 2019 06:10Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa taarifa na kusema: "Mapambano au muqawama na kusimama kidete taifa la Iran ni nukta ambazo zitavunja njama za adui."
-
Iran yaonya kuhusu matokeo mabaya ya ugaidi wa kiuchumi wa Marekani
Jun 03, 2019 06:06Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amevitaja vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya taifa hili kama 'ugaidi wa kiuchumi', huku akitahadharisha kuhusu taathira hasi iwapo Washington itaendelea kung'ang'ania mkondo wake huo wa kuwashinikiza Wairani.
-
Uchaguzi wa Rais Algeria uliokuwa umepangwa kufanyika Julai 4 waakhirishwa
Jun 02, 2019 22:58Baraza la kikatiba nchini Algeria limetangaza kuakhirisha uchaguzi wa rais ambao ulikuwa umepangwa kufanyika Julai 4 na kusema sababu ya uamuzi huo ni ukosefu wa wagombea. Uamuzi huo utapelekea kuongezeka muda wa mpito wa kisiasa jambo ambalo yamkini likaibua hasira zaidi za waandamanaji.
-
China yajibu vitisho vya Marekani vya kuitaka Hong Kong izizuie meli za mafuta za Iran
Jun 02, 2019 02:28Serikali ya China imetupilia mbali vitisho vya Marekani vya kuitaka kuziwekea vikwazo meli za mafuta za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zisitie nanga na kutoa huduma zake katika bandari ya Hong Kong.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq: Kuna baadhi hawaoni mambo mema ya Iran
Jun 01, 2019 22:06Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq, Nouri al-Maliki amesema kuwa, baadhi ya viongozi wa nchi za Kiarabu ni wakaidi kupindukia na wanajifanya hawaoni nafasi muhimu na uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kadhia ya Palestina na kupigania kwake usalama wa mataifa ya eneo hili.