Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran, Russia kuimarisha uhusiano wao kupitia mikataba ya muda mrefu

    Iran, Russia kuimarisha uhusiano wao kupitia mikataba ya muda mrefu

    Sep 02, 2025 03:34

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, na mwenzake wa Russia, Vladimir Putin wamesisitiza umuhimu wa kutekelezwa Mkataba Kamili wa Ushirikiano wa Kistratejia kati ya nchi mbili hizo.

  • Rais wa Iran azitaka US,EU kukomesha makabiliano, zirejee kwenye diplomasia

    Rais wa Iran azitaka US,EU kukomesha makabiliano, zirejee kwenye diplomasia

    Sep 02, 2025 03:12

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema Marekani na Ulaya zinapasa kuacha mienendo yao kwa msingi wa makabiliano na vitisho, na badala yake zifungamane na diplomasia ili kupata suluhisho lenye "mlingano na haki" kwa suala la nyuklia la Tehran.

  • Rais Pezeshkian ataka kuimarishwa amani na ushirikiano wa kiuchumi katika mkutano wa SCO

    Rais Pezeshkian ataka kuimarishwa amani na ushirikiano wa kiuchumi katika mkutano wa SCO

    Sep 01, 2025 04:31

    Rais Masoud Pezeshkian ametoa wito kwa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) kuchukua hatua madhubuti na za uwazi ili kuimarisha amani na ushirikiano wa kiuchumi duniani.

  • Pezeshkian: Mkutano wa Shanghai unatoa fursa ya kukabiliana na hatua za upande mmoja za Marekani na Ulaya

    Pezeshkian: Mkutano wa Shanghai unatoa fursa ya kukabiliana na hatua za upande mmoja za Marekani na Ulaya

    Aug 31, 2025 04:02

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa mkutano ujao wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) unatoa fursa ya kukabiliana na hatua za upande mmoja za Marekani na Ulaya katika masuala ya kimataifa.

  • Qalibaf alaani chokochoko za Marekani dhidi ya Venezuela

    Qalibaf alaani chokochoko za Marekani dhidi ya Venezuela

    Aug 31, 2025 04:00

    Mohammad Qalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amelaani chokochoko za Marekani katika eneo la Caribbean dhidi ya Venezuela.

  • Iravani: Iran haitafanya mazungumzo kwa vitisho au kwa kushurutishwa

    Iravani: Iran haitafanya mazungumzo kwa vitisho au kwa kushurutishwa

    Aug 30, 2025 09:33

    Amir-Saeid Iravani, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, ameitaja hatua ya nchi tatu za Ulaya yaani Ufaransa, Ujerumani na Uingereza ya kuanzisha kuanzisha mchakato wa kuanzisha utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran (snapback) hatua 'isiyo ya kisheria', na kuongeza kuwa hatua hiyo inapuuza Utaratibu wa Utatuzi wa Mizozo (DRM) wa makubaliano9 ya nyuklia ya JCPOA.

  • Sababu za Iran kuitambua hatua ya Troika ya Ulaya ya kutekeleza snapback kuwa kinyume cha sheria

    Sababu za Iran kuitambua hatua ya Troika ya Ulaya ya kutekeleza snapback kuwa kinyume cha sheria

    Aug 30, 2025 07:16

    Kikao cha faragha cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kushughulikia uzinduzi wa mchakato wa kuanzisha utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran (snapback) wa Troika ya Ulaya kilifanyika jana Ijumaa, Agosti 29.

  • Russia na China zasimama na Iran dhidi ya E3 kwa kutumia vibaya azimio la UN

    Russia na China zasimama na Iran dhidi ya E3 kwa kutumia vibaya azimio la UN

    Aug 29, 2025 04:08

    Russia na China zimechukua hatua kukabiliana na mpango wa nchi tatu zinazounda Troika ya Ulaya, E3, na kusambaza rasimu ya azimio katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalopendekeza "urefushaji wa kiufundi" kwa muda wa miezi sita utekelezaji wa Azimio 2231 la baraza hilo.

  • Rais Pezeshkian asisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa Iran na Madagascar

    Rais Pezeshkian asisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa Iran na Madagascar

    Aug 28, 2025 23:46

    Rais Masoud Pezeshkian amewataka mabalozi wapya walioteuliwa hivi karibuni kuiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu katika nchi za Madagascar na Croatia kuimarisha uhusiano wa pande mbili baina ya Iran na nchi hizi mbili.

  • Iran yalaani vikali hatua ya E3 kutekeleza

    Iran yalaani vikali hatua ya E3 kutekeleza "snapback", yasema haina uhalali kisheria

    Aug 28, 2025 23:46

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali uamuzi uliochukuliwa na Ufaransa, Ujerumani na Uingereza siku ya Alkhamisi wa kuanzisha utaratibu wa "snapback" wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kurejesha papo kwa papo vikwazo vya baraza hilo dhidi yake kutokana na mpango wake wa nyuklia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS