Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • UNESCO yajumuisha maeneo 8 ya Iran katika orodha ya turathi za dunia

    UNESCO yajumuisha maeneo 8 ya Iran katika orodha ya turathi za dunia

    Jul 01, 2018 02:56

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeyaweka maeneo manane ya kihistoria ya kabla ya ujio wa Uislamu hapa nchini Iran katika orodha yake ya turathi za dunia.

  • Mogherini: EU imekipigia kura ya ndio kifurushi cha kuiunga mkono Iran kuhusiana na JCPOA

    Mogherini: EU imekipigia kura ya ndio kifurushi cha kuiunga mkono Iran kuhusiana na JCPOA

    Jun 29, 2018 23:55

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini amesema kuwa umoja huo umekipigia kura 28 za ndio kifurushi cha kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika fremu ya makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu Kuhusu matakwa ya taifa la Iran kwa wale wanaodai kutetea haki za binadamu

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu Kuhusu matakwa ya taifa la Iran kwa wale wanaodai kutetea haki za binadamu

    Jun 28, 2018 08:33

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na wakuu wa vyombo vya mahakama alisema: "Katika suala la haki za binadamu, Jamhuri ya Kiislamu ina matakwa na majibu inayotaka kutoka kwa Wamagharibi watenda jinai wanaodai kutetea haki za binadamu."

  • Rouhani: Taifa la Iran litaipiga mweleka Marekani katika mapambano ya kusimama kidete

    Rouhani: Taifa la Iran litaipiga mweleka Marekani katika mapambano ya kusimama kidete

    Jun 27, 2018 23:48

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana jioni alisisitiza kuwa taifa la Iran kamwe haliwezi kuwapigia magoti wavamizi na mabeberu na kuongeza kuwa, Wairani wataishinda Marekani katika mapambano ya maamuzi na ya kusimama kidete.

  • Wairani 85,200 kwenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    Wairani 85,200 kwenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    Jun 27, 2018 23:18

    Wairani 85,200 wanatazamiwa kwenda nchini Saudi Arabia kutekeleza ibada tukufu ya Hija mwaka huu.

  • Iran: Mapambano ya watu wanaopigania kujikomboa si ugaidi

    Iran: Mapambano ya watu wanaopigania kujikomboa si ugaidi

    Jun 27, 2018 03:45

    Es'haq Al-e Habib, naibu wa mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza Kuu la umoja huo kuwa, mapambano ya wananchi wanaopigania kujikomboa kutoka katika makucha ya wavamizi wanaozikalia kwa mabavu ardhi zao, si ugaidi.

  • Iran na Oman zazidi kuimarisha ushirikiano wao wa baharini

    Iran na Oman zazidi kuimarisha ushirikiano wao wa baharini

    Jun 27, 2018 03:29

    Kikao cha 17 cha kamati ya pamoja ya uchumi baina ya Iran na Oman kimehimiza kuimarishwa ushirikiano wa nchi mbili kupitia bandari ya Chabahar katika mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran.

  • Larijani: Ni upuuzi kufanya mazungumo na Marekani

    Larijani: Ni upuuzi kufanya mazungumo na Marekani

    Jun 26, 2018 21:44

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema hakuna umuhimu na maana yoyote kufanya mazungumzo na Marekani, baada ya Washington kujiondoa kiwepesi kwenye mapatano ya kimataifa.

  • Ulimwengu wa Michezo, Juni 25

    Ulimwengu wa Michezo, Juni 25

    Jun 25, 2018 02:35

    Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita, haswa matokeo ya michuano ya Kombe la Dunia Russia.....

  • Kufuatiliwa mashitaka ya Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya kimataifa ya ICJ

    Kufuatiliwa mashitaka ya Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya kimataifa ya ICJ

    Jun 24, 2018 08:07

    Ijumaa iliyopita Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) ya The Hague, Uholanzi ilisema kwamba itaanza kuchunguza mashitaka ya Iran dhidi ya Marekani ya kuzuiliwa mabilioni ya dola zake katika benki za nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS