-
Mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Afrika Kusini yawekewa lengo la dola bilioni moja ifikapo mwaka 2020
May 06, 2018 22:30Mkurugenzi Mkuu wa masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika wa Shirika la Ustawi wa Biashara la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zimeweka lengo la kustawisha mabadilishano ya kibiashara baina yao na kufikia kiwango cha dola bilioni moja ifikapo mwaka 2020.
-
Shamkhani: JCPOA ni mtihani wa kihistoria kwa ufanisi wa taasisi za kimataifa
May 05, 2018 22:06Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kudumu au kuvunjika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, yakiwa ni makubaliano ya kisiasa na kiusalama yaliyothibitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni mtihani wa kihistoria wa kutathmini taathira ya mantiki ya mazungumzo badala ya mizozo na vilevile kiwango cha ufanisi wa taasisi za kimataifa.
-
HAMAS yasisitiza kuendeleza uhusiano wa kistratejia na nchi zinazouhami Muqawama
May 05, 2018 10:26Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitizia ulazima wa kuendelezwa uhusiano wa kistratejia na nchi zinazounga mkono na kuuhami muqawama wa Palestina.
-
Mafanikio ya wanasayansi Wairani katika matibabu ya moyo
May 05, 2018 09:08Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii ambayo huangazia mafanikio ya sayansi na teknolojia nchini Iran na maeneo mengine duniani. Kuweni nasi hadi mwisho.
-
Sanaa za mikono, Bandar Abbas, Iran + Video
May 05, 2018 07:43Iran ni nchi yenye utamaduni mkongwe sana. Ni ya watu wa makabila, kaumu, rangi, sura, ustaarabu, tamaduni na mavazi ya kila namna.
-
Uhusiano wa kijeshi wa Iran na Oman wazidi kuimarika
May 05, 2018 03:24Kikao cha 14 cha Kamati ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kijeshi na Kiulinzi wa Oman na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimeanza leo hapa mjini Tehran.
-
Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi nchini Iran
May 04, 2018 23:33Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Mafuta, Gesi, Usafishaji na Petrokemikali yanatazamiwa kuanza kesho Jumapili hapa mjini Tehran.
-
Ujumbe Muhimu wa Zarif kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran + VIDEO
May 04, 2018 12:03Katika Ujumbe wake wa video hapo jana Alkhamisi, Muhammad Jawad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema kuwa kuna chaguo moja tu la kufanikisha makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia, nalo ni Marekani kutekeleza ahadi zake zote kuhusiana na makubaliano hayo.
-
Ujumbe wa Zarif: Mapatano ya JCPOA ima yatabakia katika mfumo wake wa sasa au yavunjike kabisa
May 04, 2018 08:08Katika Ujumbe wake wa video hapo jana Alkhamisi, Muhammad Jawad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema kuwa kuna chaguo moja tu la kufanikisha makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia, nalo ni Marekani kutekeleza ahadi zake zote kuhusiana na makubaliano hayo.
-
Katibu Mkuu wa UN: JCPOA ni ushindi muhimu wa kidiplomasia
May 04, 2018 02:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya dhidi ya kuvunjwa makubaliano ya nyuklia ya Iran huku akisisitiza kuwa mapatano hayo ni ushindi muhimu wa kidiplomasia ambayo yanapaswa kulindwa.