-
Zarif aonya kuhusu tishio la misimamo ya kufurutu ada Mashariki ya Kati
Apr 17, 2018 23:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu tishio la misimamo mikali ya kufurutu ada katika eneo licha ya kuangamizwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Jeshi la Iran lazima shambulio la kigaidi katika mpaka na Pakistan
Apr 17, 2018 09:43Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH limefanikiwa kuzima jaribio la shambulizi la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hii na Pakistan, ambapo magaidi watatu wameangamizwa.
-
Mogherini asisitiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran huku undumakuwili wa EU ukiendelea
Apr 17, 2018 03:48Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesistiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.
-
Spika Larijani ataka kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa Iran na Vietnam
Apr 17, 2018 03:31Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uhusiano wa kibiashara wa Iran na Vietnam unapaswa kustawishwa kama ulivyo uhusiano wa kisiasa kati ya nchi mbili hizo.
-
Iran: Watoto laki tatu wa Afghanistan wanasomeshwa bure hapa nchini
Apr 16, 2018 22:48Naibu Waziri wa Elimu nchini Iran amesema kuwa, jumla ya watoto laki mbili na 93 elfu 366 raia wa Afghanistan wanasoma elimu ya msingi katika shule mbalimbali nchini hapa.
-
Ulimwengu wa Michezo, Apr 16
Apr 16, 2018 01:56Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita..
-
Iran: Taarifa ya kikao cha Arab League imekariri madai hewa na uongo usio na tija
Apr 16, 2018 00:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa jibu kwa taarifa iliyotolewa mwishoni mwa kikao cha viongozi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League), ambapo mbali na kusisitiza kwamba sera za msingi na za kudumu za Jamhuri ya Kiislamu ni kutoingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine, amebainisha kuwa tuhuma zilizotolewa dhidi ya Iran katika baadhi ya vifungu vya taarifa hiyo hazikubaliki asilani.
-
Mfalme wa Saudia akariri madai yasiyo na msingi dhidi ya Iran
Apr 15, 2018 23:48Mfalme wa Saudi Arabia kwa mara nyingine amekariri madai yasiyo na msingi na kudai kuwa eti Iran inaingilia mambo ya ndani ya Yemen na kuwa inaunga mkono ugaidi.
-
Nasrullah: Israel imejichimbia kaburi kwa kuishambulia kijeshi Syria
Apr 14, 2018 03:09Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya makosa makubwa zaidi kwa kuwashambulia wanajeshi wa Iran ulipolenga kituo cha anga cha Syria hivi karibuni.
-
Iran, Russia zatoa onyo kali baada ya US, UK na Ufaransa kuvurumisha makombora Syria
Apr 14, 2018 02:45Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zimelaani vikali mashambulizi ya makombora ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria huku zikitoa onyo kali juu ya matokeo mabaya ya hujuma hiyo ya kijeshi dhidi ya nchi huru.