-
Qassemi: Bin Salman ni mwanagenzi anayeona ndoto za mchana
Mar 16, 2018 01:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi yaliyojaa dharau ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia na kusema matamshi hayo ya Muhammad bin Salman hayana thamani ya kujibiwa kwa sababu ni mwanagenzi anayeona njozi na asiyejua lolote isipokuwa kusema uongo.
-
Wamarekani wengi wapinga sera za Trump kuhusu Iran
Mar 13, 2018 23:14Uchunguzi wa maoni uliofanywa na taasisi ya Gallup umebaini kuwa, asilimia kubwa ya Wamarekani hawakubaliani na siasa za Rais wa nchi hiyo, Donald Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran: Hatuna chuki na Saudia; iwapo itavamiwa, Tehran itakuwa ya kwanza kuihami
Mar 13, 2018 04:32Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwa bahati mbaya ikitokea Saudi Arabia ikabiliwe na uvamizi wa maajinabi au ugaidi, Tehran itakuwa ya kwanza kujitokeza kuihami na kuisaidia.
-
Jumanne tarehe 13 Machi, 2018
Mar 12, 2018 23:10Leo ni Jumanne tarehe 24 Jamadithani 1439 Hijria sawa na 13 Machi, 2018.
-
'Ripoti ya Haki za Binadamu ya UN ni dhidi ya Iran, haina ushahidi na ni ya uongo
Mar 12, 2018 12:35Mkuu wa vyombo vya mahakama Iran amesema, waliowengi duniani wanapinga undumakuwili unaoonyeshwa na taasisi za kimataifa kuhusu haki za binadamu.
-
Ulimwengu wa Michezo, Machi 12
Mar 12, 2018 03:25Hujambo mpenzi mwanaspoti wa RT na karibu katika hizi chache za kutupia jicho baadhi ya matukio muhimu yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa, karibu……
-
Kamanda wa SEPAH: Israel haiwezi kuthubutu kuichokoza Iran
Mar 11, 2018 23:00Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel hauna uthubutu wa kuzusha chokochoko dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu wala uwezo wa kuhimili matokeo mabaya ya uchokozi huo.
-
Sheikh wa Kisuni nchini Syria: Iran imebadili mlingano wa maadui katika eneo
Mar 10, 2018 11:49Sheikh maarufu wa Waislamu wa Suni nchini Syria na Kiongozi wa Harakati ya Wananchi kwa ajili ya Kuikomboa Palestina yenye makazi yake eneo la Zainabia mjini Damascus, mji mkuu wa Syria amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutumia uwezo wake mkubwa imeweza kubadili mlingano wa maadui katika uga wa kisiasa na kijeshi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Iran yalaani kushambuliwa ubalozi wake London, Uingereza
Mar 10, 2018 04:10Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya kushambuliwa ubalozi wake mjini London, na kuitaka polisi ya Uingereza kuwadhaminia usalama wanadiplomasia wa Iran nchini humo.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kuwepo Iran katika eneo hili hakuipendezi hata kidogo Marekani
Mar 09, 2018 02:55Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha wazi kwamba taifa la Iran liko tayari muda wote kumpigisha magoti adui yake na kusisitiza kuwa, uwepo wa Iran katika eneo hili hauihusu kivyovyote vile Marekani.