Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Marekani inawasaidia wavamizi wa Yemen

    Iran: Marekani inawasaidia wavamizi wa Yemen

    Feb 27, 2018 04:27

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, madai ya kukaririwa na ya kuchosha ya mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa dhidi Iran ni msaada kwa wavamizi wa Yemen.

  • Russia yapigia veto muswada wa Uingereza dhidi ya Iran kuhusu Yemen

    Russia yapigia veto muswada wa Uingereza dhidi ya Iran kuhusu Yemen

    Feb 26, 2018 23:24

    Muswada wa azimio lililo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uliopendekezwa na Uingereza kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, umekwamishwa na kura ya veto ya Russia.

  • Ulimwengu wa Michezo, Feb 26

    Ulimwengu wa Michezo, Feb 26

    Feb 26, 2018 04:26

    Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita...

  • Rais wa Afrika Kusini atoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Iran

    Rais wa Afrika Kusini atoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Iran

    Feb 23, 2018 04:19

    Rais mpya wa Afrika Kusini ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kuanguka ndege ya abiria Jumapili asubuhi hapa Iran na kuua watu wote 66 waliokuwemo kwenye ndege hiyo.

  • IAEA: Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    IAEA: Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Feb 22, 2018 23:48

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umethibitisha tena kwamba, shughuli za miradi ya kuzalisha nishati ya nyuklia nchini Iran zinafanyika kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Adel al-Jubeir akariri tena madai yake ya uwongo dhidi ya Iran

    Adel al-Jubeir akariri tena madai yake ya uwongo dhidi ya Iran

    Feb 22, 2018 10:42

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Saudi Arabia amekariri tena madai yake ya uwongo na yasiyo na msingi wowote kwamba, Iran inaingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine.

  • Iran na Uhispania zasisitiza kupanua zaidi ushirikiano baina yao

    Iran na Uhispania zasisitiza kupanua zaidi ushirikiano baina yao

    Feb 22, 2018 00:58

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uhispania wamesisitiza azma ya nchi zao ya kustawisha zaidi uhusiano na ushirikiano baina yao.

  • Iran: Jibu letu kwa Israel litaisambaratisha Tel Aviv kikamilifu

    Iran: Jibu letu kwa Israel litaisambaratisha Tel Aviv kikamilifu

    Feb 21, 2018 04:15

    Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu ya Iran, ameonya kuwa, mji mkuu wa utawala wa Kizayuni utageuzwa majivu Tehran ikilazimika kujibu mapigo iwapo Benjamin Netanyahu atatekeleza vitisho vyake alivyovitoa hivi karibuni dhidi ya taifa hili.

  • Rouhani: Mazungumzo ya Astana na Sochi yameleta matumaini ya usalama na uthabiti wa Syria

    Rouhani: Mazungumzo ya Astana na Sochi yameleta matumaini ya usalama na uthabiti wa Syria

    Feb 20, 2018 00:35

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ushirikiano na mazungumzo ya pande tatu ya Iran, Russia na Uturuki kuhusiana na masuala ya Mashariki ya Kati, hususan vita dhidi ya ugaidi na kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Syria yamekuwa na taathira chanya na amesisitiza juu ya kuendelezwa juhudi na ushirikiano huo ili kufikiwa malengo kusudiwa.

  • Baada ya kufanikiwa ushirikiano wao katika vita dhidi ya ugaidi, sasa Iran na Iraq zatiliana saini mapatano maalumu ya kijeshi

    Baada ya kufanikiwa ushirikiano wao katika vita dhidi ya ugaidi, sasa Iran na Iraq zatiliana saini mapatano maalumu ya kijeshi

    Feb 18, 2018 23:34

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Iran na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi ya Iraq wamekutana na kutiliana saini mapatano maalumu ya kijeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS