Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Uzushi wa Saudia, Marekani na Israel dhidi ya Iran kwa lengo la kubadili uhalisia wa mambo Mashariki ya Kati

    Uzushi wa Saudia, Marekani na Israel dhidi ya Iran kwa lengo la kubadili uhalisia wa mambo Mashariki ya Kati

    Jan 26, 2018 04:47

    Adel al Jubeir Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia akiwa anafuata kibubusa sera za chuki dhidi ya Iran za Marekani na Utawala wa Kizayuni wa Israel, alitoa hotuba katika kikao cha Jukwaa la Uchumi Duniani huko Davos Uswisi siku ya Jumatano na kutoa tuhuma zisizo na msingi kuwa eti Iran inaunga mkono migongano ya kimadhehebu na ugaidi.

  • Boroujerdi: Hizbullah imechangia pakubwa kusambaratishwa ISIS

    Boroujerdi: Hizbullah imechangia pakubwa kusambaratishwa ISIS

    Jan 26, 2018 04:17

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa mchango mkubwa sana katika jitihada za kuangamizwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  •  Ijumaa tarehe 26 Januari, 2018

    Ijumaa tarehe 26 Januari, 2018

    Jan 26, 2018 00:32

    Leo ni Ijumaa tarehe 8 Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na Januari 26, 2018.

  • Iran yasema utawala wa Kizayuni wa Israel ni chanzo cha matatizo Mashariki ya Kati

    Iran yasema utawala wa Kizayuni wa Israel ni chanzo cha matatizo Mashariki ya Kati

    Jan 26, 2018 00:27

    Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu Iran katika Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio kitovu cha matatizo Mashariki ya Kati ambapo sera zake za uvamizi na kujitanua zimefanya hali kuwa mbaya zaidi.

  • Jumatano tarehe 24 Januari 2018

    Jumatano tarehe 24 Januari 2018

    Jan 24, 2018 01:04

    Leo ni Jumatano tarehe 6 Jamadil Awwali 1439 Hijria mwafaka na tarehe 24 Januari mwaka 2018.

  • Iran haijadiliani na yeyote kuhusu uwezo wake wa ulinzi

    Iran haijadiliani na yeyote kuhusu uwezo wake wa ulinzi

    Jan 23, 2018 11:30

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uwezo wa kujihami wa Iran hauwezi kufanyiwa mazungumzo. Ameongeza kuwa, "hakuna yeyote mwenye idhini ya kuingilia masuala ya kujihami na ya makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran."

  • Mwakilishi wa Hamas Iran: Madai ya kuwa na uhusiano na Israel yanapasa kusitishwa

    Mwakilishi wa Hamas Iran: Madai ya kuwa na uhusiano na Israel yanapasa kusitishwa

    Jan 23, 2018 04:51

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas nchini Iran amelaani jinai na hatua za kujitanua za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina na kueleza kuwa madai ya kuwa na mahusiano na Israel yanapasa kusitishwa.

  • Ulimwengu wa Spoti, Jan 22

    Ulimwengu wa Spoti, Jan 22

    Jan 22, 2018 03:12

    Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache zilizotengwa kwa ajili ya kuangazia matukio mawili matatu ya michezo yaliyogonga vichwa vya habari kitaifa na kimataifa. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi……..Karibu…..

  • HAMAS yasisitiza kuimarisha uhusiano wake na Iran na Hizbullah ya Lebanon

    HAMAS yasisitiza kuimarisha uhusiano wake na Iran na Hizbullah ya Lebanon

    Jan 21, 2018 10:40

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema uhusiano wa harakati hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na harakati ya Hizbullah ya Lebanon umerejea kwenye mkondo wake wa kawaida.

  • Magari ya Mercedes Benz E-Class sasa kuundwa nchini Iran

    Magari ya Mercedes Benz E-Class sasa kuundwa nchini Iran

    Jan 20, 2018 04:49

    Shirika la Mercedes-Benz la Ujerumani litaanza tena kutengeneza magari yake nchini Iran kuanzia mwaka mpya wa Kiirani utakaoanza Machi 21.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS