Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rouhani: Uhasama wa Saudia ni mbinu ya kuficha changamoto zinazoikabili

    Rouhani: Uhasama wa Saudia ni mbinu ya kuficha changamoto zinazoikabili

    Nov 29, 2017 04:50

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Saudi Arabia kushadidisha uhasama na uadui wake dhidi ya Tehran ni mbinu ya kujaribu kuficha kufeli kwake katika masuala ya kieneo sawa na changamoto zinazoukabili utawala wa Riyadh ndani ya nchi hiyo.

  • Atwan: Israel haina ubavu wa kutekeleza vitisho inavyotoa dhidi ya Iran

    Atwan: Israel haina ubavu wa kutekeleza vitisho inavyotoa dhidi ya Iran

    Nov 29, 2017 01:35

    Gazeti la Al-Ra'yul-Yaum limeandika kuhusu vitisho hewa vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza kwamba Tel Aviv haiwezi kutekeleza kivitendo vitisho vyake vya kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran nchini Syria na kumuua kigaidi Jenerali Qassim Soleimani, kwa sababu ikijaribu kufanya hivyo itakabiliwa na mwisho mbaya na si hasha ikawa sababu ya kuangamizwa moja kwa moja.

  • Sheikh wa al Azhar aalikwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu, Tehran

    Sheikh wa al Azhar aalikwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu, Tehran

    Nov 27, 2017 04:41

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amemwalika rasmi Sheikh wa al Azhar nchini Misri kushiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utakaoanza tarehe 4 mwezi ujao wa Disemba hapa mjini Tehran.

  • Jeshi la Majini la Iran lazima shambulizi la maharamia Ghuba ya Aden

    Jeshi la Majini la Iran lazima shambulizi la maharamia Ghuba ya Aden

    Nov 26, 2017 10:38

    Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limefanikiwa kuzima shambulizi la maharamia dhidi ya meli ya mizigo katika Ghuba ya Aden.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi-15 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi-15 na sauti

    Nov 25, 2017 15:30

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 15 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Mkurugenzi Mkuu wa IAEA asisitiza tena kwamba Iran imefungamana na makubaliano ya JCPOA

    Mkurugenzi Mkuu wa IAEA asisitiza tena kwamba Iran imefungamana na makubaliano ya JCPOA

    Nov 25, 2017 00:52

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesisitiza kwa mara nyengine tena kuwa Iran imefungamana na kutekeleza kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ayatullah Kadhim Siddiqi: Kusambaratishwa ISIS kumeitia kiwewe Marekani na Israel

    Ayatullah Kadhim Siddiqi: Kusambaratishwa ISIS kumeitia kiwewe Marekani na Israel

    Nov 24, 2017 13:02

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amepongeza hatua ya kusambaratishwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) na kusisitiza kuwa, habari hizo zimechoma nyoyo za waungaji mkono wa magenge ya kigaidi duniani.

  • Iran: Afrika isigeuzwe kimbilio la magenge ya kigaidi na ukufurishaji

    Iran: Afrika isigeuzwe kimbilio la magenge ya kigaidi na ukufurishaji

    Nov 24, 2017 12:25

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kufanyika jitihada za kuzuia bara la Afrika kugeuka kuwa kimbilio na kitovu cha magenge ya kigaidi na yenye misimamo ya kufurutu ada, kufuatia kusambaratishwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi za Syria na Iraq.

  • Velayati: Iran inajitolea muhanga kulinda usalama wa majirani zake

    Velayati: Iran inajitolea muhanga kulinda usalama wa majirani zake

    Nov 24, 2017 00:52

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, ushawishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwenye eneo hili ni wa kujivunia kwani ni ushawishi wa kirafiki na kwamba Tehran inajitolea muhanga kulinda usalama wa majirani zake.

  • Ripoti mpya ya IAEA yathibitisha kufungamana Iran na makubaliano ya JCPOA

    Ripoti mpya ya IAEA yathibitisha kufungamana Iran na makubaliano ya JCPOA

    Nov 23, 2017 10:55

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) kwa mara nyingine tena umethibitisha katika ripoti yake mpya ya msimu kuwa Iran imetekeleza majukumu yake kuhusu makubaliano ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS