Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumatano, Juni 21, 2017

    Jumatano, Juni 21, 2017

    Jun 20, 2017 22:13

    Leo ni Jumatano tarehe 26 Ramadhani, 1438 Hijria, sawa na Juni 21, 2017.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran inapinga kura ya maoni ya kujitenga eneo moja la Iraq

    Kiongozi Muadhamu: Iran inapinga kura ya maoni ya kujitenga eneo moja la Iraq

    Jun 20, 2017 12:42

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amepongeza umoja na mshikamano wa makundi yote ya kisiasa na kimadhehebu Iraq katika mapambano dhidi ya ISIS au Daesh na kusema uwepo wa 'Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi' ni tuko muhimu na lenye baraka ambalo ni chanzo cha nguvu nchini Iraq.

  • Zarif: Hakuna kizuizi cha kuimarisha uhusiano wa Iran na Tunisia

    Zarif: Hakuna kizuizi cha kuimarisha uhusiano wa Iran na Tunisia

    Jun 20, 2017 03:28

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna kitu kinachoweza kuzuia au kukwamisha kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa Iran na Tunisia.

  • Kichapo cha makombora ya Iran kwa magaidi wa Daesh (ISIS) katika eneo la  Deir Ezzor, Syria

    Kichapo cha makombora ya Iran kwa magaidi wa Daesh (ISIS) katika eneo la Deir Ezzor, Syria

    Jun 20, 2017 01:49

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) Jumapili usiku lilishambulia kwa makombora sita ya masafa ya kati ya ardhini kwa ardhini kamandi ya kijeshi ya magaidi wa kitakfiri wa Daesh (ISIS) katika eneo la Deir Ezzor mashariki mwa Syria.

  • Trump na vitisho dhidi ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Trump na vitisho dhidi ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Jun 19, 2017 08:10

    Ayatullah Sayyed Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Jumapili alikutana mjini Tehran na familia za mashahidi walinzi wa Haram Takatifu na vikosi vya usalama vinavyolinda mipaka ya nchi na kusisitiza umuhimu wa mashahidi katika uhai wa Iran.

  • Brigedia Jenerali Jazayeri: Iran ina njia ya kuiadhibu Marekani

    Brigedia Jenerali Jazayeri: Iran ina njia ya kuiadhibu Marekani

    Jun 18, 2017 23:08

    Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran ina namna na njia ya kuiadhibu Washington baada ya Bunge la Seneti la Marekani kupasisha vikwazo vipya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC kwa madai yasiyo na msingi ya ugaidi.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran barani Afrika

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran barani Afrika

    Jun 17, 2017 23:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo (Jumapili) anaanza ziara ya kuzitembelea nchi za Algeria, Mauritania na Tunisia.

  • Zarif: Marekani badala ya kufikiria kubadilisha mfumo wa Iran ifikirie kulinda utawala wake

    Zarif: Marekani badala ya kufikiria kubadilisha mfumo wa Iran ifikirie kulinda utawala wake

    Jun 16, 2017 03:13

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Iran ameitaka Marekani ifikirie namna ya kulinda utawala wake badala ya kuhangaika ikitaka kubadilisha mfumo unaotawala nchini Iran.

  • Matamshi ya uingiliaji ya Tillerson; kilele cha kuchanganyikiwa Marekani mbele ya Iran

    Matamshi ya uingiliaji ya Tillerson; kilele cha kuchanganyikiwa Marekani mbele ya Iran

    Jun 16, 2017 02:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameonyesha msimamo ambao ni wa uhasama na uingiliaji wa moja kwa moja katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambayo hivi sasa inaelekea kutimiza miaka arubaini ya uhai wake.

  • Vaezi: Iran iko tayari kutoa huduma za teknolojia ya mawasiliano barani Afrika

    Vaezi: Iran iko tayari kutoa huduma za teknolojia ya mawasiliano barani Afrika

    Jun 15, 2017 11:00

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia wa Iran amekutana na mawaziri wa nchi za Kiafrika mjini Geneva na kusema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kutoa huduma za kiufundi na kihandisi katika sekta ya teknolojia ya mawasiliano kwenye nchi mbalimbali za Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS