Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • 40 wapoteza maisha katika mafuriko Iran, Kiongozi Muadhamu atoa kauli

    40 wapoteza maisha katika mafuriko Iran, Kiongozi Muadhamu atoa kauli

    Apr 16, 2017 02:53

    Makumi ya watu wamepoteza maisha katika janga la mafuriko kwenye mikoa ya kaskazini magharibi mwa Iran.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya mabasi huko Aleppo, Syria

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya mabasi huko Aleppo, Syria

    Apr 16, 2017 00:13

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya mabomu dhidi ya mabasi yaliyokuwa yanawahamisha watu kutoka vijiji ambavyo aghalabu ya wakazi wake ni Waislamu wa madhehebu ya Shia huko katika mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Iran kuanza kuunda ndege kubwa za abiria

    Iran kuanza kuunda ndege kubwa za abiria

    Apr 15, 2017 09:34

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, mafanikio ya nchi hii katika kuunda ndege ya kivita ya Qaher 313 na kutoa mafunzo ya Kauthar 88 ni utangulizi wa Iran kuunda ndege kubwa za abiria na mizigo.

  • Iran na Kenya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    Iran na Kenya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    Apr 15, 2017 09:07

    Balozi wa Iran nchini Kenya amesisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa kiuchumi baina ya Tehran na Nairobi.

  • Kongamano la Kimataifa la Haki za Binadamu lafunguliwa Tehran

    Kongamano la Kimataifa la Haki za Binadamu lafunguliwa Tehran

    Apr 15, 2017 03:01

    Kongamano la Kimataifa la Kiislamu kuhusu Haki za Binadamu linafanyika hapa nchini Iran katika Chuo Kikuu cha Tehran.

  • Ayatullah Siddiqi: Hujuma ya Marekani huko Syria, ni kinyume cha sheria za kimataifa

    Ayatullah Siddiqi: Hujuma ya Marekani huko Syria, ni kinyume cha sheria za kimataifa

    Apr 14, 2017 10:35

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa, shambulizi la Marekani nchini Syria siku ya Ijumaa iliyopita, linakinzana na sheria zote za kimataifa.

  • Iran yataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Iran yataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Apr 14, 2017 00:03

    Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) ametoa wito wa kuundwa timu ya kimataifa isiyopendelea upande wowote itakayochunguza matukio ya hivi karibuni nchini Syria na jinsi silaha za kemikali zilivyoingizwa nchini humo.

  • Taarifa ya G7, madai ya Magharibi kuhusu uwezo wa makombora ya Iran

    Taarifa ya G7, madai ya Magharibi kuhusu uwezo wa makombora ya Iran

    Apr 13, 2017 05:49

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za wanachama katika G7 wametoa taarifa mwishoni mwa kikao chao kilichofanyika nchini Italia wakiendeleza sera za kueneza propaganda chafu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran: Makombora yetu hayana uhusiano wowote na JCPOA

    Iran: Makombora yetu hayana uhusiano wowote na JCPOA

    Apr 13, 2017 03:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran amesema hatua ya Jamhuri ya Kiislamu kufanyia majaribio makombora yake haina mfungamano wowote na makubaliano ya nyuklia ya Vienna.

  • Wanasayansi Iran waunda roboti la kufunza lugha ya ishara

    Wanasayansi Iran waunda roboti la kufunza lugha ya ishara

    Apr 12, 2017 08:29

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala nyingine yenye kuangazia maendeleo ya Iran katika sekta za sayansi, teknolojia na tiba nchini Iran na maeneo mengine duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS