Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran:  Suala la haki za binadamu lisitumiwe kama wenzo

    Iran: Suala la haki za binadamu lisitumiwe kama wenzo

    Dec 10, 2016 11:07

    Tume ya Haki za Binadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa mwito wa kuacha kutumiwa suala la haki za binadamu na asasi za kimataifa kama wenzo wa kuwadhibiti wengine kifikra, kiutamaduni, kisiasa na kiuchumi.

  • Qassemi: Waziri Mkuu wa Uingereza anajipendekeza kwa nchi za Kiarabu

    Qassemi: Waziri Mkuu wa Uingereza anajipendekeza kwa nchi za Kiarabu

    Dec 08, 2016 04:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali matamshi ya chuki dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, yaliyotolewa jana na Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May, katika mkutano wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC, na kusisitiza kuwa kauli hiyo inalenga kuzifurahisha na kuziridhisha nchi za Kiarabu za baraza hilo.

  • IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    Dec 07, 2016 03:52

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umesema hatua ya Iran kuuza nje ya nchi maji mazito ya nyuklia ni katika sehemu ya kuonyesha kufangamana kwake na makubaliano ya nyuklia.

  • Rais Rouhani: Jibu la Iran kwa ukiukaji wa JCPOA litakuwa kali

    Rais Rouhani: Jibu la Iran kwa ukiukaji wa JCPOA litakuwa kali

    Dec 06, 2016 12:22

    Rais Hassan Rouhani amesisitiza kuwa Iran haitairuhusu Marekani ikiuke au iichane hati ya makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Zarif: Kipindi cha ubeberu wa Marekani Mashariki ya Kati kimepita

    Zarif: Kipindi cha ubeberu wa Marekani Mashariki ya Kati kimepita

    Dec 06, 2016 03:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, zama za ubeberu wa nchi za Magharibi hususan Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati, zimepita na kuyoyoma.

  • Iran Kuchukua hatua kali kuhusu ukiukwaji wa mapatano ya nyuklia

    Iran Kuchukua hatua kali kuhusu ukiukwaji wa mapatano ya nyuklia

    Dec 06, 2016 02:28

    Iran itachukua hatua kali na imara iwapo kutakuwepo ukiukwaji wowote wa mapatano ya nyuklia baina yake na madola sita makubwa duniani.

  • Dakta Zarif: Tunataka kuufikisha uhusiano wa Iran na China katika kiwango cha kiistratejia

    Dakta Zarif: Tunataka kuufikisha uhusiano wa Iran na China katika kiwango cha kiistratejia

    Dec 05, 2016 03:14

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kupanuliwa ushirikiano wa kiistratejia baina ya Iran na China.

  • Jahangiri: Marekani imekiuka muafaka wa kimataifa

    Jahangiri: Marekani imekiuka muafaka wa kimataifa

    Dec 05, 2016 00:26

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali hatua ya Baraza la Seneti la Marekani ya kupitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA) na kusema kuwa, kitendo hicho mbali na kuonyesha kuwa Washington haina muamana, pia ni ukiukaji wa makubaliano ya kimataifa.

  • Jumamosi, 03 Disemba, 2016

    Jumamosi, 03 Disemba, 2016

    Dec 04, 2016 08:22

    Leo ni Jumamosi tarehe 3 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 3 Disemba mwaka 2016.

  • Bunge la Iran laandaa hoja ya dharura ya kuanzisha tena shughuli za nyuklia

    Bunge la Iran laandaa hoja ya dharura ya kuanzisha tena shughuli za nyuklia

    Dec 03, 2016 04:24

    Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wabunge wanaandaa hoja ya dharura wa kujadiliwa haraka na nje ya utaratibu wa kawaida wa kuanzisha tena shughuli za nyuklia kwa lengo la kukabiliana na hatua dhidi ya Iran iliyochukuliwa na Kongresi ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS