Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Zarif: Kurefusha vikwazo kunaonesha kuwa serikali ya Marekani haina muamana

    Zarif: Kurefusha vikwazo kunaonesha kuwa serikali ya Marekani haina muamana

    Dec 03, 2016 04:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kwa mtazamo wa jamii ya kimataifa kurefushwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kunaonesha kuwa serikali ya Washington haina muamana.

  • "Obama atasaini mpango wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran"

    Dec 03, 2016 00:54

    Baada ya Seneti ya Marekani kupitisha mpango wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran, afisa mmoja mwandamizi katika Ikulu ya Marekani (White House) amesema Rais wa nchi hiyo Barack Obama anatazamiwa kusaini mpango huo na kuwa sheria.

  • Kupasishwa na Seneti ya Marekani muswada wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran

    Kupasishwa na Seneti ya Marekani muswada wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran

    Dec 03, 2016 00:53

    Wajumbe wa Baraza la Seneti la Marekani wamepitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA).

  • Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Dec 01, 2016 04:15

    Msemaji wa Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza amesema kuwa Bi May anaunga mkono kikamilifu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na anataka kutekelezwa kikamilifu makubaliano hayo.

  • Iran: Tutajibu hatua yoyote ya Marekani ya kuvunja JCPOA

    Iran: Tutajibu hatua yoyote ya Marekani ya kuvunja JCPOA

    Nov 30, 2016 12:59

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kama Marekani itarefusha vikwazo dhidi ya Iran, basi Jamhuri ya Kiislamu itaongeza kiwango cha urutubishaji wake wa urani kwa "SWU" laki moja na 90 elfu.

  • CIA yamuonya Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Iran

    CIA yamuonya Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Iran

    Nov 30, 2016 11:08

    Shirika la Kijasusi la Marekani CIA limemuonya rais-mteule wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1.

  • Onyo la mkuu wa CIA kwa Trump kuhusu JCPOA

    Onyo la mkuu wa CIA kwa Trump kuhusu JCPOA

    Nov 30, 2016 09:42

    John O. Brennan, Mkuu wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA amemuonya Donald Trump, rais mteule wa Marekani kutokana na msimamo wake kuhusu makubaliano ya nyuklia ya Iran na kundi la 5+1 yanayojulikana kwa jina la JCPOA na kusisitiza kuwa, haitakuwa busara hata kidogo kufutwa makubaliano yaliyotiwa saini na Tehran na Washington.

  • Udharura wa kutoa jibu waungaji mkono wa magaidi wanaotumia silaha za kemikali

    Udharura wa kutoa jibu waungaji mkono wa magaidi wanaotumia silaha za kemikali

    Nov 30, 2016 00:16

    Mwakilishi wa Iran katika Shirika Linalopiga Marufuku Silaha za Kemikali (OPCW) ameeleza kuwa nchi zinazoyaunga mkono makundi ya kigaidi yanayotumia silaha za kemikali zinapasa kutoa jibu kuhusu suala hilo.

  • Iran na Russia kuendeleza ushirikiano wa vita dhidi ya ugaidi

    Iran na Russia kuendeleza ushirikiano wa vita dhidi ya ugaidi

    Nov 29, 2016 04:45

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamesisitiza kuhusu kuendeleza ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Iran yamuangamiza mmoja wa vinara wa ISIS mpakani

    Iran yamuangamiza mmoja wa vinara wa ISIS mpakani

    Nov 29, 2016 03:47

    Vikosi vya usalama vya Iran vimefanikiwa kumuangamiza mmoja kati ya vinara wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) katika eneo la mpakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS