Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kiongozi: Kuwakumbuka mashahidi ni nukta muhimu ya kukabiliana na njama za adui

    Kiongozi: Kuwakumbuka mashahidi ni nukta muhimu ya kukabiliana na njama za adui

    Oct 02, 2016 10:26

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuhimiza kumbukumbu ya mashahidi ni moja ya nukta muhimu katika kukabiliana na njama za adui na kulinda mapambano katika jamii.

  • Zarif akosoa masharti ya Ujerumani kwa Iran

    Zarif akosoa masharti ya Ujerumani kwa Iran

    Oct 02, 2016 04:43

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Uchumi wa Ujerumani aliyesema kuwa Berlin inaweza kuimarisha uhusiano wake na Tehran kwa sharti kuwa Jamhuri ya Kiislamu iutambue utawala haramu wa Israel.

  • Jumapili, Oktoba 2, 2016

    Jumapili, Oktoba 2, 2016

    Oct 01, 2016 23:15

    Leo ni Jumapili tarehe 30 Mfunguo Tatu Dhul-Hijjah mwaka 1437 Hijiria, mwafaka na Oktoba Pili, 2016 Miladia.

  • Iran kwa Ujerumani: Katu hatutaacha kuiunga mkono Palestina

    Iran kwa Ujerumani: Katu hatutaacha kuiunga mkono Palestina

    Oct 01, 2016 04:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katu nchi hii haitoacha kuiunga mkono Palestina.

  • Kuzidi kuimarika uhusiano wa Iran na Oman

    Kuzidi kuimarika uhusiano wa Iran na Oman

    Sep 30, 2016 14:31

    Baadhi ya picha za ziara ya ya ujumbe wa mahakama ya Oman ulipotembelea na kuonana na mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Tehran.

  • Balozi wa Iran IAEA: Silaha za Nyuklia za Israel ni tishio kwa amani duniani

    Balozi wa Iran IAEA: Silaha za Nyuklia za Israel ni tishio kwa amani duniani

    Sep 30, 2016 04:19

    Balozi wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesema silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kwa usalama wa eneo na dunia nzima.

  • Saudia inaunga mkono wahalifu mashariki mwa Iran

    Saudia inaunga mkono wahalifu mashariki mwa Iran

    Sep 30, 2016 03:39

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran Abdul Ridha Rahman Fadhli amesema Saudi Arabia inaunga mkono wahalifu katika eneo la mashariki mwa nchi.

  • Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi

    Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi

    Sep 29, 2016 10:16

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai yaliyotolewa na Saudi Arabia kuwa Tehran inalifadhili kundi la wanaharakati wa Ansarullah wa Yemen.

  • Alhamisi, Septemba 29, 2016

    Alhamisi, Septemba 29, 2016

    Sep 29, 2016 02:42

    Leo ni Alkhamisi tarehe 27 Dhulhija 1437 Hijria sawa na 29 Septemba 2016.

  • Kiongozi Muadhamu: Majeshi ya Iran yawe tayari kukabiliana na adui

    Kiongozi Muadhamu: Majeshi ya Iran yawe tayari kukabiliana na adui

    Sep 28, 2016 10:26

    Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa majeshi nchini kujiimarisha kiitikadi, kielimu na kinidhamu sambamba na kuwapa wanajeshi vijana uzoefu wa zama za Kujihami Kutakatifu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS