-
Kiongozi Muadhamu atoa mkono wa pole kufuatia mripuko 'mchungu' kusini mwa Iran
Apr 28, 2025 04:36Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa salamu za rambirambi kwa familia zinazoomboleza wahanga wa mripuko "mchungu" katika Bandari ya Shahid Rajaee katika mji wa kusini wa Bandar Abbas, na kutaka uchunguzi wa kina ufanyike kuhusiana na tukio hilo.
-
Iran yaionya Israel; Shambulio lolote la kijeshi litajibiwa
Apr 28, 2025 04:31Katika ujumbe wa kijasiri, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekashifu juhudi za "kinjozi" za Israel za kuishurutisha Tehran na kuonya kwamba, shambulio lolote la kijeshi dhidi ya taifa hili litajibiwa mara moja.
-
Araqchi: Nimeridhishwa na hatua zilizopigwa katika mazungumzo na Marekani; mashauriano zaidi yanahitajika
Apr 27, 2025 04:16Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema ameridhishwa na hatua zilizopigwa hadi sasa katika mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani.
-
Pezeshkian asisitiza haja ya ushirikiano wa nchi za eneo ili kukabiliana na ugaidi
Apr 26, 2025 23:24Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuna udharura wa kuwepo na ushirikiano thabiti miongoni mwa nchi za eneo hili, ili kwa pamoja ziweze kupambana na zimwi la ugaidi.
-
Hatua mpya katika kuzidisha kiwango cha ushirikiano kati ya Iran na Russia
Apr 26, 2025 07:20Miamala ya kibiashara kati ya Iran na Russia inazidi kuongezeka katika nyanja mbalimbali za kiuchumi hususan katika sekta ya nishati na usafirishaji.
-
Iran yamwita balozi wa Uholanzi juu ya tuhuma 'zisizo na msingi' dhidi ya Tehran
Apr 25, 2025 23:09Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemwita balozi wa Uholanzi kuwasilisha malalamiko makali ya Tehran dhidi ya tuhuma "zisizo na msingi" zilizotolewa na Uholanzi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Trump adai yuko tayari kukutana na Kiongozi Muadhamu wa Iran
Apr 25, 2025 23:09Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian au Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema hayo katika mahojiano na TIME.
-
Jeshi la Msumbiji: Uasi katika mkoa wenye utajiri wa gesi wa Cabo Delgado umemalizika
Apr 25, 2025 03:12Jeshi la Msumbiji limetangaza kuwa limedhibiti kambi za mwisho za mafunzo zilizokuwa zikitumiwa na waasi katika mkoa wa kaskazini wa Cabo Delgado, ikiwa ni ishara ya kile wanachokitaja maafisa wa jeshi hilo kuwa ni kumalizika kwa uasi wa miaka mingi katika eneo hilo lenye utajiri wa maliasili ya gesi.
-
Iran yaonya; Israel inataka 'kuvuruga diplomasia' kupitia hujuma, mauaji ya kigaidi
Apr 24, 2025 07:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi fulani yenye maslahi maalumu huenda yakajaribu "kuvuruga diplomasia" kupitia vitendo vya hujuma na mauaji ya kigaidi wakati huu ambapo Jamhuri ya Kiislamu na Marekani zinafanya mazungumzo ya kufikia makubaliano kuhusu shughuli za nyuklia za taifa hili.
-
"Msimamo wa ujasiri wa Papa Francis dhidi ya dhulma hautasahaulika"
Apr 24, 2025 07:08Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Masuala ya Kisiasa wa Iran amesema, mchango wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani aliyeaga dunia hivi karibuni, Papa Francis ambaye daima alikuwa mstari wa mbele kusaidia wanyonge na wahanga wa unyanyasaji na ukatili, na vile vile misimamo yake ya kijasiri dhidi ya ukandamizaji, dhulma, ubaguzi na unyanyasaji kamwe haitasahaulika.