Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yateuliwa Makamu wa Rais wa OPCW licha ya upinzani wa Marekani

    Iran yateuliwa Makamu wa Rais wa OPCW licha ya upinzani wa Marekani

    Mar 07, 2025 07:16

    Iran imechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Baraza la Utendaji la Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) licha ya Marekani kufanya juu chini kuzuia Jamhuri ya Kiislamu kuteuliwa kwenye nafasi hiyo.

  • Iran: Kufurushwa Wapalestina Gaza ni muendelezo wa mauaji ya kimbari

    Iran: Kufurushwa Wapalestina Gaza ni muendelezo wa mauaji ya kimbari

    Mar 06, 2025 23:03

    Iran imesema kuwa, mpango wa kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza na kuwapeleka katika nchi jirani ni kuendeleza mauaji ya kimbari kwa kutumia zana za kisiasa.

  • Mjumbe wa Iran IAEA: Kampeni ya mashinikizo ya Magharibi dhidi ya Iran haina tija

    Mjumbe wa Iran IAEA: Kampeni ya mashinikizo ya Magharibi dhidi ya Iran haina tija

    Mar 06, 2025 02:17

    Balozi na Mwakilishi wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ameonya kuwa, mkakati wa Magharibi wa kutoa mashinikizo kwa Tehran na kuilazimisha kutekeleza kwa upande mmoja majukumu ya kinyuklia "sio tu kwamba haufanyi kazi bali pia hauna tija" .

  • Russia yaitaka Ulaya iache vitisho dhidi ya Iran

    Russia yaitaka Ulaya iache vitisho dhidi ya Iran

    Mar 05, 2025 22:59

    Russia imekosoa vikali vitisho vya Uingereza, Ufaransa na Ujerumani vya kuamilisha mchakato wa kurejesha vikwazo dhidi ya Iran na kutaja msimamo huo kuwa wa "kutowajibika" na "ulio kinyume cha sheria".

  • Iran: Hatutaki vita, lakini tutajihami kwa nguvu zote

    Iran: Hatutaki vita, lakini tutajihami kwa nguvu zote

    Mar 05, 2025 00:44

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: Hatufurahishwi na vita na machafuko na wala hatupendi, lakini iwapo adui ataanzisha vita dhidi yetu basi bila ya shaka tutailinda Iran kwa nguvu zetu zote na kutoa jibu kali kwa maadui.

  • Malengo ya Iran ya kuwa na ushirikiano mzuri na majirani zake katika nyuga mbalimbali

    Malengo ya Iran ya kuwa na ushirikiano mzuri na majirani zake katika nyuga mbalimbali

    Mar 03, 2025 06:45

    Majid Takht Ravanchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesema kuhusu mikutano na mazungumzo aliyofanya na maafisa wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati kwamba majirani wana nafasi maalumu katika sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran inakabiliwa na muungano wa madola ya kinafiki

    Kiongozi Muadhamu: Iran inakabiliwa na muungano wa madola ya kinafiki

    Mar 03, 2025 03:38

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Jamhuri ya Kiislamu haina tatizo na mataifa mengine; lakini hata hivyo inakabiliwa na muungano mpana wa "madola ya kinafiki" yanayojaribu kuingilia mambo yake ya ndani na kuvuruga uhusiano wake wa nje.

  • Pezeshkian: Ramadhani iwe chachu ya kuimarika umoja wa Waislamu

    Pezeshkian: Ramadhani iwe chachu ya kuimarika umoja wa Waislamu

    Mar 03, 2025 03:38

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran sambamba na kuwapongeza viongozi na mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani, ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuutumia mwezi huu wa baraka kama chachu ya kuimarisha umoja, mshikamano na ushirikiano miongoni mwao.

  • Bunge la Iran lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri wa Uchumi

    Bunge la Iran lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri wa Uchumi

    Mar 02, 2025 09:16

    Wabunge katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wamepiga kura ya kumuondoa katika wadhifa wake Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu, Abdolnaser Hemmati wakati wa kikao cha kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.

  • Qalibaf awatakia kheri ya Ramadhani maspika wenzake katika nchi za Kiislamu

    Qalibaf awatakia kheri ya Ramadhani maspika wenzake katika nchi za Kiislamu

    Mar 02, 2025 03:26

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amewapongeza maspika wenzake katika nchi za Kiislamu kwa kuwasili mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS