Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Jeshi la Iraq laingia kaskazini mwa mji wa Mosul

    Jeshi la Iraq laingia kaskazini mwa mji wa Mosul

    Nov 06, 2016 09:46

    Wanajeshi wa Iraq wameingia katika eneo la kwanza kabisa la makazi ya watu kaskazini mwa mji wa Mosul, makao makuu ya mkoa wa Nainawa

  • Makumi ya maelfu ya watu waukimbia mkoa wa Nainawa, Iraq

    Makumi ya maelfu ya watu waukimbia mkoa wa Nainawa, Iraq

    Nov 05, 2016 23:14

    Kamati ya Wahajiri ya Bunge la Iraq imetangaza kuwa, karibu watu 29 elfu wameukimbia mkoa wa Nainawa tangu ilipoanza operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul, makao makuu ya mkoa huo.

  • Russia: Marekani inalenga makazi ya raia Mosul, Iraq

    Russia: Marekani inalenga makazi ya raia Mosul, Iraq

    Nov 04, 2016 01:07

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa mashambulizi ya ndege za kivita za Marekani na washirika wake yanalenga zaidi makazi ya raia katika mji wa Mosul nchini Iraq.

  • Hashdu Shaabi: Hatuhitajii Marekani katika operesheni ya Mosul

    Hashdu Shaabi: Hatuhitajii Marekani katika operesheni ya Mosul

    Nov 02, 2016 11:10

    Kikosi cha kujitolewa cha Hashdu Shaabi kinachoshirikiana na jeshi la Iraq katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul toka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kimesema vikosi hivyo havihitajii muungano wa kijeshi wa Marekani katika mapambano hayo.

  • Jeshi la Iraq lajiandaa kuingia mjini Mosul, ngome ya genge la ISIS

    Jeshi la Iraq lajiandaa kuingia mjini Mosul, ngome ya genge la ISIS

    Oct 28, 2016 04:19

    Mkuu wa mkoa wa Nineve (Nainawa) wa kaskazini mwa Iraq ametangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo linajiandaa kuigia katika mji wa Mosul kuwafurusha wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS.)

  • Mazoezi ya kijeshi ya mara kwa mara ya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Mazoezi ya kijeshi ya mara kwa mara ya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Oct 27, 2016 03:53

    Majeshi ya nchi Kiarabu wanachama wa Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi tarehe 25 Oktoba yalianza mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la "Amani ya Ghuba ya Uajemi-1".

  • Watu elfu tisa wamekuwa wakimbizi Mosul

    Watu elfu tisa wamekuwa wakimbizi Mosul

    Oct 26, 2016 03:31

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa watu karibu elfu tisa wamekuwa wakimbizi katika mji wa Mosul nchini Iraq.

  • Al-Abadi: Madai ya Uturuki kuwa inashiriki operesheni za kuikomboa Mosul, ni uongo mtupu

    Al-Abadi: Madai ya Uturuki kuwa inashiriki operesheni za kuikomboa Mosul, ni uongo mtupu

    Oct 25, 2016 04:45

    Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi amesema kuwa, madai yanayotolewa na serikali ya Uturuki kwamba inashiriki katika operesheni za kuukomboa mji wa Mosul kutoka kwa magaidi wa Daesh (ISIS), ni madai batili.

  • Velayati: Ushindi unapatikana chini ya kivuli cha umoja

    Velayati: Ushindi unapatikana chini ya kivuli cha umoja

    Oct 24, 2016 23:29

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu amesema kuwa, mahudhurio makubwa ya maulamaa wa Suni na Shia kutoka nchi mbalimbali katika Mkutano wa Mwamko wa Kiislamu uliofanyika nchini Iraq sambamba na operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka kwenye makucha ya magaidi wa Daesh ni ujumbe mkubwa kwamba ushindi unapatikana katika kivuli cha umoja na mshikamano wa Waislamu.

  • Haider al-Abadi: Uturuki haipambani na genge la Daesh bali ina njama

    Haider al-Abadi: Uturuki haipambani na genge la Daesh bali ina njama

    Oct 23, 2016 00:57

    Waziri Mkuu wa Iraq Haider al-Abadi amesema kuwa, serikali ya Uturuki inafuatilia malengo yake katika eneo na kwa uhalisia haina lengo la kupambana na magaidi wa Daesh (ISIS).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS