-
Sababu na matokeo ya kuuzuliwa Spika wa Bunge la Iraq
Nov 18, 2023 06:44Jumanne iliyopita, Mahakama ya Juu ya Iraq ilimuuzulu Spika wa Bunge la nchi hiyo, Mohammad Al-Halbousi.
-
Kituo cha jeshi la Marekani Iraq chashambuliwa, droni yake ya MQ-9 yatunguliwa Yemen
Nov 09, 2023 07:12Vikosi vya Muqawama wa Kiislamu nchini Iraq vimeishambulia kambi ya jeshi la anga inayohifadhi wanajeshi wa Marekani nchini humo. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya nchi hiyo.
-
Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq Tehran wakati wa mgogoro wa Gaza
Nov 07, 2023 07:46Waziri Mkuu wa Iraq Mohammad Shia al-Sudani, jana asubuhi akiwa ziarani hapa mjini Tehran alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Jumanne, tarehe 7 Novemba, 2023
Nov 07, 2023 02:31Leo ni Jumatatu tarehe 22 Rabiuthani 1445 Hijria sawa na 7 Novemba 2023.
-
Wanamuqawama wa Iraq washambulia kambi nne za Marekani huko Iraq na Syria
Nov 06, 2023 07:05Kwa mara ya nne leo asubuhi wanamuqawama wa Iraq wameshmbulia kambi za jeshi la Marekani huko Iraq na Syria.
-
Kata'ib Hizbullah: Ziara ya Blinken nchini Iraq haikubaliki
Nov 06, 2023 03:00Harakati ya Muqawama ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imetishia kushadidisha hali ya taharuki iwapo Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Anthony Blinken atafanya safari ya kuitembelea Baghdad.
-
Kambi za kijeshi za Marekani zashambuliwa kwa droni Iraq, Syria
Nov 04, 2023 03:03Vituo viwili vya kijeshi vya Marekani vimeshambuliwa katika hujuma za ndege zisizo na rubani (droni) katika eneo la Kurdistan la kaskazini mwa Iraq na katika mkoa wa Hasaka, mashariki mwa Syria.
-
Wanamuqawama wa Iraq waishambulia kwa droni kambi ya Marekani ya Ain al Asad
Oct 27, 2023 14:09Kundi jina la Mujahidina wa Muqawama wa Kiislamu wa Iraq wameshambulia kwa ndege isiyo na rubani (droni) mahali walipo vikosi vamizi vya Marekani katika kambi ya Ain al Asad huko Iraq.
-
Vladimir Putin: Wakati umefika wa kutangazwa nchi huru ya Palestina
Oct 11, 2023 02:57Rais Vladimir Putin wa Russia amezungumzia kushindwa siasa za kibeberu za rais wa Marekani, Joe Biden za kuingilia masuala ya eneo la Asia Magharibi na kutilia mkazo wajibu wa kutekelezwa maamizio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yanayosisitizia kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Ayatullah Sistani: Waislamu wote wana wajibu wa kuwasaidia Wapalestina
Oct 10, 2023 14:09Kiongozi wa juu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq ametoa mwito kwa Waislamu kote duniani kuwaunga mkono, kuwahami na kuwasaidia wananchi wa Palestina, wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kufanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.