Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Nukta kadhaa kuhusu safari ya Papa Francis huko Iraq

    Nukta kadhaa kuhusu safari ya Papa Francis huko Iraq

    Mar 10, 2021 02:19

    Safari ya siku tatu ya Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani huko Iraq ambayo ilianza Ijumaa iliyopita imemalizika.

  • Iraq yasisitiza kufanyika mazungumzo ya kitaifa na ushirikiano wa kieneo

    Iraq yasisitiza kufanyika mazungumzo ya kitaifa na ushirikiano wa kieneo

    Mar 09, 2021 04:53

    Waziri Mkuu wa Iraq amewasilisha miito na mpango kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa na kushirikiana nchi za eneo ili kuimarisha amani na maelewano.

  • Iraq kukamilisha ripoti kuhusu askari wa jeshi la kigaidi la Marekani kuondoka nchini humo

    Iraq kukamilisha ripoti kuhusu askari wa jeshi la kigaidi la Marekani kuondoka nchini humo

    Mar 08, 2021 08:05

    Mjumbe wa kamati ya usalama na ulinzi ya Bunge la Iraq amesema, imeundwa kamati maalum ya kuandaa ripoti rasmi kuhusu kuondoka kikamilifu askari wa Marekani katika ardhi ya nchi hiyo na kuhitimishwa mvutano juu ya kadhia hiyo.

  • Papa Francis: Udugu una nguvu zaidi kuliko mauaji na suluhu ina nguvu zaidi kuliko vita

    Papa Francis: Udugu una nguvu zaidi kuliko mauaji na suluhu ina nguvu zaidi kuliko vita

    Mar 07, 2021 13:58

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema udugu una nguvu zaidi kuliko mauaji na suluhu ina nguvu zaidi kuliko vita.

  • Kwa nini Papa Francis amefanya safari nchini Iraq?

    Kwa nini Papa Francis amefanya safari nchini Iraq?

    Mar 07, 2021 12:03

    Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani jana alikutana na kufanya mazungumzo mjini Najaf Iraq na Ayatullah Sayyid Ali Sistani Marjaa mkubwa wa Kishia nchini humo.

  • Ayatullah Sistani na Papa Francis wakutana mjini Najaf

    Ayatullah Sistani na Papa Francis wakutana mjini Najaf

    Mar 07, 2021 04:44

    Kiongozi na Marjaa wa Waisalmu wa Madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amekutana na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.

  • Safari ya Papa Francis nchini Iraq, wito wa kuishi pamoja kwa amani wafuasi wa dini tofauti

    Safari ya Papa Francis nchini Iraq, wito wa kuishi pamoja kwa amani wafuasi wa dini tofauti

    Mar 06, 2021 11:00

    Katika miaka ya karibuni nchi ya Iraq imekuwa uwanja wa mashambulio na harakkati ya makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la Daesh ambalo limesababisha madhara makubwa kwa nafsi na mali za wananchi wote wa nchi hiyo, Waislamu na Wakristo.

  • Shamkhani: Iran haitaruhusu kuhuishwa ugaidi wa kitakfiri katika eneo

    Shamkhani: Iran haitaruhusu kuhuishwa ugaidi wa kitakfiri katika eneo

    Feb 27, 2021 12:28

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na mataifa mengine yanayopambana na ugaidi katu hayataruhusu kuhuishwa magenge ya kigaidi na kitakfiri katika eneo la Asia Magharibi.

  • Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani

    Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani

    Feb 27, 2021 12:03

    Harakati za muqawama za Iraq zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya jeshi la Marekani yaliyolenga kambi za makundi hayo ya kupambana na ugaidi katika mpaka wa Iraq na Syria, na kusisitiza kuwa, chokochoko hizo mpya za Washington hazitapita bila kupewa jibu kali.

  • Shambulizi la anga la Marekani huko Syria, nembo ya kupenda vita ya serikali ya Biden

    Shambulizi la anga la Marekani huko Syria, nembo ya kupenda vita ya serikali ya Biden

    Feb 27, 2021 09:07

    Mwaka 2014 Marekani ilituma majeshi yake kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na majeshi hayo yamebakia nchini humo hadi sasa licha ya wito wa mara kwa mara wa serikali ya Damascus wa kutaka kuondoka majeshi hayo vamizi katika ardhi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS