-
Nukta kadhaa kuhusu safari ya Papa Francis huko Iraq
Mar 10, 2021 02:19Safari ya siku tatu ya Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani huko Iraq ambayo ilianza Ijumaa iliyopita imemalizika.
-
Iraq yasisitiza kufanyika mazungumzo ya kitaifa na ushirikiano wa kieneo
Mar 09, 2021 04:53Waziri Mkuu wa Iraq amewasilisha miito na mpango kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa na kushirikiana nchi za eneo ili kuimarisha amani na maelewano.
-
Iraq kukamilisha ripoti kuhusu askari wa jeshi la kigaidi la Marekani kuondoka nchini humo
Mar 08, 2021 08:05Mjumbe wa kamati ya usalama na ulinzi ya Bunge la Iraq amesema, imeundwa kamati maalum ya kuandaa ripoti rasmi kuhusu kuondoka kikamilifu askari wa Marekani katika ardhi ya nchi hiyo na kuhitimishwa mvutano juu ya kadhia hiyo.
-
Papa Francis: Udugu una nguvu zaidi kuliko mauaji na suluhu ina nguvu zaidi kuliko vita
Mar 07, 2021 13:58Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema udugu una nguvu zaidi kuliko mauaji na suluhu ina nguvu zaidi kuliko vita.
-
Kwa nini Papa Francis amefanya safari nchini Iraq?
Mar 07, 2021 12:03Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani jana alikutana na kufanya mazungumzo mjini Najaf Iraq na Ayatullah Sayyid Ali Sistani Marjaa mkubwa wa Kishia nchini humo.
-
Ayatullah Sistani na Papa Francis wakutana mjini Najaf
Mar 07, 2021 04:44Kiongozi na Marjaa wa Waisalmu wa Madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amekutana na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
-
Safari ya Papa Francis nchini Iraq, wito wa kuishi pamoja kwa amani wafuasi wa dini tofauti
Mar 06, 2021 11:00Katika miaka ya karibuni nchi ya Iraq imekuwa uwanja wa mashambulio na harakkati ya makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la Daesh ambalo limesababisha madhara makubwa kwa nafsi na mali za wananchi wote wa nchi hiyo, Waislamu na Wakristo.
-
Shamkhani: Iran haitaruhusu kuhuishwa ugaidi wa kitakfiri katika eneo
Feb 27, 2021 12:28Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na mataifa mengine yanayopambana na ugaidi katu hayataruhusu kuhuishwa magenge ya kigaidi na kitakfiri katika eneo la Asia Magharibi.
-
Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani
Feb 27, 2021 12:03Harakati za muqawama za Iraq zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya jeshi la Marekani yaliyolenga kambi za makundi hayo ya kupambana na ugaidi katika mpaka wa Iraq na Syria, na kusisitiza kuwa, chokochoko hizo mpya za Washington hazitapita bila kupewa jibu kali.
-
Shambulizi la anga la Marekani huko Syria, nembo ya kupenda vita ya serikali ya Biden
Feb 27, 2021 09:07Mwaka 2014 Marekani ilituma majeshi yake kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na majeshi hayo yamebakia nchini humo hadi sasa licha ya wito wa mara kwa mara wa serikali ya Damascus wa kutaka kuondoka majeshi hayo vamizi katika ardhi yake.