Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Ripoti: Wanajeshi wa Marekani wanapora mafuta ya Syria

    Ripoti: Wanajeshi wa Marekani wanapora mafuta ya Syria

    Jul 02, 2020 07:40

    Wanajeshi wa Marekani wamepora shehena ya matrela 30 ya mafuta ya petroli kutoka visima vya mafuta vya Syria na kuyapeleka Iraq.

  • Hashd al Shaabi: Marekani inataka kumalizia hamaki zake kwetu

    Hashd al Shaabi: Marekani inataka kumalizia hamaki zake kwetu

    Jun 29, 2020 03:37

    Kamanda wa harakati ya kujitolea ya wananchi wa Iraq maarufu kwa jina la al Hashd al Shaabi amesema kuwa, Marekani bado imejawa na hamaki na inataka kumalizia hamaki zake hizo kwa harakati hiyo ya wananchi ambayo inavuruga njama za Wamarekani hasa baada ya harakati hiyo kulishinda genge la kigaidi la Daesh (ISIS) lililoundwa na Marekani.

  • Al Hashdul Shaabi yaipongeza Iran kwa msaada wake katika kupambana na ugaidi

    Al Hashdul Shaabi yaipongeza Iran kwa msaada wake katika kupambana na ugaidi

    Jun 13, 2020 22:13

    Mkuu wa Idara ya Habari ya harakati ya wananchi wa Iraq ya al Hashdul Shaabi ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa msaada wake katika mapambano dhidi ya ugaidi nchini Iraq.

  • Mapatano ya Washington na Baghdad kuhusu kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq

    Mapatano ya Washington na Baghdad kuhusu kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq

    Jun 12, 2020 03:16

    Kumefikiwa mapatano ya kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq. Mapatano hayo yamefikiwa Alhamisi katika mkutano uliofanyika baina ya Abdulkarim Hashemi Mustafa mwakilishi wa serikali ya Iraq na David Hale mwakilishi wa serikali ya Marekani.

  • Waitifaki wa Marekani wapunguza nusu ya askari wao nchini Iraq

    Waitifaki wa Marekani wapunguza nusu ya askari wao nchini Iraq

    Jun 11, 2020 03:30

    Nchi 29 wanachama wa muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani nchini Iraq zimepunguza kwa asilimia 50 idadi ya wanajeshi wao vamizi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Iraq na Marekani; dalili na matokeo yake

    Duru mpya ya mazungumzo ya Iraq na Marekani; dalili na matokeo yake

    Jun 11, 2020 03:07

    Mazungumzo kati ya viongozi wa Iraq na Marekani yameanza leo Alkhamisi tarehe 11 Juni.

  • Muqtada al-Sadr: Marekani inapaswa kuondoa vikosi vyake vyote Iraq

    Muqtada al-Sadr: Marekani inapaswa kuondoa vikosi vyake vyote Iraq

    Jun 09, 2020 03:32

    Kiongozi wa Harakati ya Al-Sadr ya nchini Iraq ameitaka Marekani iviondoe mara moja vikosi vyake vyote katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Iran na Iraq; majirani wawili wenye nyuga nyingi za ushirikiano wa kiuchumi

    Iran na Iraq; majirani wawili wenye nyuga nyingi za ushirikiano wa kiuchumi

    Jun 04, 2020 21:54

    Iran na Iraq ni nchi mbili jirani zenye nyuga na mambo mengi yanayozikutanisha pamoja na zina pia nafasi kubwa, pana na za kila namna za kupanua ushirikiano wao katika nyanja tofauti za kiuchumi kama vile sekta ya nishati.

  • Yahya Rasul: Iraq haihitaji askari wa kigeni kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Yahya Rasul: Iraq haihitaji askari wa kigeni kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Jun 03, 2020 02:58

    Msemaji wa kamandi kuu ya jeshi la Iraq amesema kuwa, nchi hiyo haihitai askari yeyote wa kigeni kwa ajili ya mapambano na mabaki ya ugaidi.

  • Mpasuko mkubwa waibuka ndani ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS)

    Mpasuko mkubwa waibuka ndani ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS)

    May 31, 2020 00:18

    Msemaji wa Jeshi la Iraq ameeleza kuwepo mpasuko mkubwa ndani ya safu ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) hasa baada ya kuuawa kiongozi wa genge hilo, Abubakar Al-Baghdad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS