Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • China yaitaka Israel iache chokochoko, uporaji wa ardhi za Wapalestina

    China yaitaka Israel iache chokochoko, uporaji wa ardhi za Wapalestina

    May 25, 2023 23:50

    China imeutaka utawala haramu wa Israel ukomeshe mara moja tabia yake ya uchokozi, kuchochea taharuki na kupora ardhi na rasilimali za Wapalestina hasa katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • HAMAS yawaonya Wazayuni wasitoe vitisho dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    HAMAS yawaonya Wazayuni wasitoe vitisho dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    May 24, 2023 02:05

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ameuonya utawala wa Kizayuni usitoe vitisho dhidi ya Iran akisisitiza kuwa, vitisho hivyo vya Israel dhidi ya nchi za kambi ya muqawama, vinaonesha hofu na kiwewe ilicho nacho Tel Aviv kutokana na nguvu za wanamapambano wa kambi ya muqawama katika kona zote za ukanda huu.

  • OIC yalaani kuuawa shahidi Wapalestina 3 Nablus

    OIC yalaani kuuawa shahidi Wapalestina 3 Nablus

    May 22, 2023 23:49

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani kitendo cha wanajeshi makatili wa Israel cha kuwaua shahidi Wapalestina watatu katika mji wa Nablus, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Jumapili, tarehe 14 Mei, 2023

    Jumapili, tarehe 14 Mei, 2023

    May 13, 2023 21:55

    Leo ni Jumapili tarehe 23 Shawwal 1444 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2023.

  • Wataalamu wa UN: Israel iwajibishwe kwa mauaji ya Khader Adnan

    Wataalamu wa UN: Israel iwajibishwe kwa mauaji ya Khader Adnan

    May 04, 2023 04:47

    Wataalamu wawili wa Umoja wa Mataifa wametaka Israel iwajibike kwa mauaji ya Khader Adnan, kiongozi Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina ambaye alikata roho na kufa shahidi akiwa anashikiliwa katika jela ya Israel kufuatia mgomo wa kususia kula kwa muda wa siku 87.

  • Kamanda: Israel itapata jibu kali ikithubutu kuishambulia Iran

    Kamanda: Israel itapata jibu kali ikithubutu kuishambulia Iran

    Apr 27, 2023 06:22

    Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa makombora ya Iran yako tayari kulenga kitovu cha utawala wa Kizayuni wa Israel iwapo utawala huo au nchi yoyote itajaribu kutishia usalma wa anga ya Iran.

  • Upatanishi wa Wazayuni Sudan; kisingizio kingine cha kujipenyeza

    Upatanishi wa Wazayuni Sudan; kisingizio kingine cha kujipenyeza

    Apr 26, 2023 07:28

    Katika hali ambayo mgogoro wa Sudan pamoja na vita vinaendelea kushuhudiwa, utawala haramu wa Israel umewaalika majerali mahasimu wa Sudan kwenda Tel Aviv kwa ajili ya upatanishi.

  • UN yatahadharishwa: Tafsiri ya 'chuki dhidi ya Uyahudi' isitumiwe kudhibiti ukosoaji dhidi ya unyama wa Israel

    UN yatahadharishwa: Tafsiri ya 'chuki dhidi ya Uyahudi' isitumiwe kudhibiti ukosoaji dhidi ya unyama wa Israel

    Apr 22, 2023 08:36

    Zaidi ya mashirika 100 ya kutetea haki za binadamu na haki za kiraia yameuonya Umoja wa Mataifa dhidi ya matumizi ya tafsiri ya chuki dhidi ya Wayahudi ambayo inaweza kutumiwa kuzuia ukosoaji wa uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kudhoofisha uungaji mkono wa haki za Wapalestina.

  • Mkuu wa IRGC: Israel itaporomoka na Palestina itapata uhai mpya

    Mkuu wa IRGC: Israel itaporomoka na Palestina itapata uhai mpya

    Apr 14, 2023 23:07

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) anasema kuwa utawala wa Israel uko karibu kuporomoka huku ukikabiliwa na migogoro kadhaa wakati ambao harakati za ukombozi wa Palestina zinapata uhai mapya.

  • Maandamano ya kutaka kufungwa kampuni za silaha za Israel yafanyika UK

    Maandamano ya kutaka kufungwa kampuni za silaha za Israel yafanyika UK

    Apr 02, 2023 07:46

    Wanaharakati wa kutetea haki za wananchi madhulumu wa Palestina wamefanya maandamano katika miji kadhaa ya Uingereza, kushinikiza kufungwa kwa mashirika ya kuzalisha silaha ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika nchi hiyo ya Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS