Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Iran: Israel inabeba dhima ya kutekwa wanadiplomasia wa Kiirani Lebanon

    Iran: Israel inabeba dhima ya kutekwa wanadiplomasia wa Kiirani Lebanon

    Jul 04, 2021 22:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema utawala wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake ndio wanaobeba dhima ya kisiasa na kisheria kuhusu hatima ya wanadiplomasia wanne wa Kiirani waliotekwa nyara nchini Lebanon mwaka 1982.

  • Hamas:Israel haiwezi kubadili mlingano

    Hamas:Israel haiwezi kubadili mlingano

    Jul 04, 2021 02:46

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, mashambulizi ya Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza pia hayawezi kubadili mlingano.

  • Amir Abdollahian: Israel haina nafasi katika mustakabali wa Asia Magharibi

    Amir Abdollahian: Israel haina nafasi katika mustakabali wa Asia Magharibi

    Jul 03, 2021 03:43

    Hossein Amir-Abdollahian, mshauri maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema: "Utawala wa Israel hautakuwa na nafasi yoyote katika mustakabali wa eneo (la Asia Magharibi).

  • Imarati yawapa uraia maelfu ya Wazayuni ndani ya miezi 3

    Imarati yawapa uraia maelfu ya Wazayuni ndani ya miezi 3

    Jul 02, 2021 22:13

    Raia wapatao 5,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamepewa uraia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

  • Hamas yaghadhabishwa na Google, Apple kuiondoa 'Palestina' katika ramani

    Hamas yaghadhabishwa na Google, Apple kuiondoa 'Palestina' katika ramani

    Jul 01, 2021 03:10

    Ofisi ya Habari ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekosoa vikali hatua ya mashirika ya Kimarekani ya Google na Apple ya kuliondoa neno 'Palestina' katika ramani zao za dunia. Kwa mujibu wa mashirika hayo, hivi sasa hakuna pahala duniani panapotambulika kama Palestina.

  • Mahmoud Abbas: Kutangaza uhusiano wa kawaida na Israel hakuwezi kuleta amani

    Mahmoud Abbas: Kutangaza uhusiano wa kawaida na Israel hakuwezi kuleta amani

    Jun 30, 2021 01:49

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amejibu kitendo cha Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) cha kufungua rasmi ubalozi wa utawala wa Kizayuni mjini Abu Dhabi na kusema kuwa, makubaliano ya uhusiano wa kawaida kati ya nchi za Kiarabu na Israel kamwe hayawezi kuleta utulivu na amani.

  • Kituo cha MOSSAD chashambuliwa Erbil huku Waziri wa Israel akiitembelea UAE

    Kituo cha MOSSAD chashambuliwa Erbil huku Waziri wa Israel akiitembelea UAE

    Jun 29, 2021 21:56

    Huku Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel akifanya safari ya kwanza ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu, kambi ya Shirika la Kijasusi la Utawala huo wa Kizayuni (MOSSAD) imeshambuliwa kwa maroketi katika eneo la Erbil, kaskazini mwa Iraq.

  • Haniya na Nasrullah wajadili njia za kupata 'ushindi wa mwisho' dhidi ya Israel

    Haniya na Nasrullah wajadili njia za kupata 'ushindi wa mwisho' dhidi ya Israel

    Jun 29, 2021 21:53

    Viongozi wakuu wa mrengo wa muqawama wa Palestina na Lebanon wamejadili kipigo cha hivi karibuni cha Wapalestina wa Ukanda wa Gaza dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, sanjari na kubadilishana mawazo juu ya njia zinazopaswa kufuatwa ili kupata 'ushindi mutlaki' dhidi ya utawala huo haramu.

  • Palestina yataka kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel

    Palestina yataka kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel

    Jun 26, 2021 22:07

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Palestina imelaani uhalifu unaoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina na kutoa wito wa kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya utawala huo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel kuitembelea Imarati

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel kuitembelea Imarati

    Jun 22, 2021 21:57

    Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel anatazamiwa kufanya safari ya kwanza ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu wiki ijayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS