Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Makundi ya muqawama Palestina: Lengo letu ni kuufuta kabisa utawala haramu wa Israel

    Makundi ya muqawama Palestina: Lengo letu ni kuufuta kabisa utawala haramu wa Israel

    May 15, 2019 09:43

    Wawakilishi wa harakati za muqawama wa Palestina nchini Iran, wamesema kuwa lengo la makundi ya wanamapambano wa Kipalestina ni kuufuta kabisa utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye uso wa dunia.

  • Iran: Israel ndiyo sababu ya migogoro yote ya kibinadamu Asia Magharibi

    Iran: Israel ndiyo sababu ya migogoro yote ya kibinadamu Asia Magharibi

    May 14, 2019 03:22

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndilo chimbuko la migogoro yote ya kibinadamu katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • Jumanne, tarehe 14 Mei, 2019

    Jumanne, tarehe 14 Mei, 2019

    May 13, 2019 23:43

    Leo ni Jumanne tarehe 8 Ramadhan 1440 Hijiria, mwafaka na tarehe 14 Mei 2019 Milaadia.

  • Mohammad Shtayyeh: Israel inataka kuwasahaulisha walimwengu umuhimu wa Quds

    Mohammad Shtayyeh: Israel inataka kuwasahaulisha walimwengu umuhimu wa Quds

    May 13, 2019 09:57

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kuushambulia Ukanda wa Ghaza ni kutaka kuwasahaulisha walimwengu jinai zake na umuhimu wa mji mtakatifu wa Quds.

  • Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    May 12, 2019 02:24

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema ofisi ya shirika la habari la nchi hiyo la Anadolu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeshambuliwa na jeshi la utawala haramu wa Israel kwa kufichua 'kazi chafu' na maovu ya utawala huo.

  • Dawa zilizotengenezwa Israel zakutwa mikononi mwa magaidi huko Syria

    Dawa zilizotengenezwa Israel zakutwa mikononi mwa magaidi huko Syria

    May 11, 2019 22:06

    Idadi kubwa ya dawa, silaha na zana za kijeshi zilizoundwa katika utawala wa Kizayuni na kupewa magaidi zimenaswa wakati wa kuwafurusha magaidi hao huko kusini mwa Syria.

  • OIC yaitaka Israel ikabidhi maeneo yote iliyoghusubu ikiwemo Golan

    OIC yaitaka Israel ikabidhi maeneo yote iliyoghusubu ikiwemo Golan

    May 11, 2019 03:21

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukabidhi maeneo yote ulioyaghusubu ikiwemo Miinuko ya Golan ya Syria.

  • Wapalestina 3 wauawa shahidi na Wazayuni kuelekea Siku ya Nakba

    Wapalestina 3 wauawa shahidi na Wazayuni kuelekea Siku ya Nakba

    May 11, 2019 03:18

    Kwa akali Wapalestina watatu wameuawa shahidi katika wimbi jipya la Maandamano ya Haki ya Kurejea, huku maadhimisho ya Siku ya Nakba ya kumbukumbu ya mwaka wa 71 tangu kukaliwa kwa mabavu Palestina yakijongea.

  • UN: Wapalestina 1,700 wa Gaza katika hatari ya kukatwa miguu

    UN: Wapalestina 1,700 wa Gaza katika hatari ya kukatwa miguu

    May 09, 2019 08:03

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeeleza wasiwasi mkubwa ilionao kutokana na kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, na kubainisha kuwa mamia ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wako katika hatari ya kusababishiwa ulemavu wa maisha kutokana na majeraha ya risasi za jeshi katili la utawala wa Kizayuni.

  • Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama

    Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama

    May 09, 2019 00:01

    Msemaji Rasmi wa Brigedi ya Quds, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa utumiwaji wa makombora aina ya Badr 3, unaonyesha ustawi wa uwezo katika sekta ya kijeshi ya muqawama wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS