Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel yawakamata wanaharakati na boti zao Ukanda wa Ghaza

    Israel yawakamata wanaharakati na boti zao Ukanda wa Ghaza

    May 30, 2018 03:06

    Vikosi vya baharini vya utawala wa Kizayuni wa Israel jana vimeusimamisha msafara wa boti za wanaharakati wa Kipalestina waliokuwa na nia ya kuvunja mzingiro wa kidhalimu wa miaka 11 katika Ukanda wa Ghaza.

  • Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina

    May 28, 2018 21:13

    Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemmiminia risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke asiye na uwezo wa kusikia wa Kipalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Kifaru cha Israel chaua shahidi Wapalestina 3 Gaza

    Kifaru cha Israel chaua shahidi Wapalestina 3 Gaza

    May 27, 2018 09:13

    Kwa akali Wapalestina watatu wameuawa shahidi kufuatia shambulizi la kifaru cha utawala wa Kizayuni wa Israel mashariki mwa mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Mwakilishi wa Iran UN: Marekani imewapatia kinga Wazayuni na Wasaudi ya kushambulia raia

    Mwakilishi wa Iran UN: Marekani imewapatia kinga Wazayuni na Wasaudi ya kushambulia raia

    May 22, 2018 23:55

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Kizayuni na ule wa Aal Saud zinaungwa mkono na Marekani kwa kuwa ni mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama katika mashambulio yao dhidi ya raia na kubainisha kuwa Washington imezipatia kinga tawala mbili hizo.

  • Wapalestina waitaka ICC ichunguze ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel

    Wapalestina waitaka ICC ichunguze ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel

    May 22, 2018 09:12

    Palestina imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ianzishe uchunguzi kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel hususan harakati za utawala huo za kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Wapalestina unaozikalia kwa mabavu.

  • Orodha mpya ya Makamanda Wapalestina ambao Israel inataka kuwaua; dalili ya uhai wa Israel kutegemea ugaidi

    Orodha mpya ya Makamanda Wapalestina ambao Israel inataka kuwaua; dalili ya uhai wa Israel kutegemea ugaidi

    May 21, 2018 22:08

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza orodha mpya ya makamanda wa Brigedi za Izzedin Qassam Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ambao inalenga kuwaua kigaidi.

  • Wapalestina 3 waaga dunia kutokana na majeraha ya risasi za Israel

    Wapalestina 3 waaga dunia kutokana na majeraha ya risasi za Israel

    May 19, 2018 23:34

    Wapalestina watatu waliojeruhiwa vibaya na risasi za jeshi katili la Israel katika Ukanda wa Gaza wiki iliyopita wamefariki dunia.

  • Saudia yaanza duru mpya ya kuwakamata wale wanaopinga nchi hiyo kuwa  na uhusiano na Israel

    Saudia yaanza duru mpya ya kuwakamata wale wanaopinga nchi hiyo kuwa na uhusiano na Israel

    May 19, 2018 21:52

    Vyombo vya habari, wanasheria na wanaharakati mbalimbali wameelezea kupitia mitandao ya kijamii juu ya kuanza duru mpya ya kamatakamata ya utawala wa kifalme wa Aal-Saud dhidi ya wapinzani wanaopinga nchi hiyo kuwa na uhusiano na utawala katili wa Kizayuni.

  • Wananchi wa Iran wafanya maandamano kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Wananchi wa Iran wafanya maandamano kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 18, 2018 10:15

    Wananchi wa Iran wamemiminika mabarabarani baada ya Sala ya Ijumaa hii leo kushiriki maandamanao ya kulaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina, sambamba na uamuzi wa upande mmoja wa Marekani wa kuuhamishia ubalozi katika mji mtukufu wa Quds, kutoka Tel Aviv.

  • Mkuu wa haki za binadamu wa UN ataka kuchunguzwa jinai za kivita za Israel

    Mkuu wa haki za binadamu wa UN ataka kuchunguzwa jinai za kivita za Israel

    May 18, 2018 09:30

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kufanywa uchunguzi huru juu ya mauaji ya raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Ghaza yaliyofanywa hivi karibuni na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS