Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Unesco yawasilisha azimio jipya la kulaani kuharibiwa athari za kihistoria na Israel

    Unesco yawasilisha azimio jipya la kulaani kuharibiwa athari za kihistoria na Israel

    Oct 26, 2016 04:14

    Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa limewasilisha azimio jipya linalolaani hatua ya Israel ya kuharibu athari za kale katika maeneo matukufu ya Palestina.

  • Radiamali ya Hamas kwa vitisho vya Waziri wa Vita wa Israel

    Radiamali ya Hamas kwa vitisho vya Waziri wa Vita wa Israel

    Oct 25, 2016 04:49

    Harakati ya Mapambano wa Kiislamu ya Palestina Hamas imepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Avigdor Lieberman, akidai kuwa utawala huo utausambaratisha muqawama wa Wapalestina.

  • Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq

    Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq

    Oct 21, 2016 10:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imebainisha wasi wasi wake mkubwa baada ya vikosi vya utawala wa Bahrain kuvamia ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq na kusema hatua kama hizo dhidi ya wapinzani ni kosa la kistraitjia.

  • Kamanda wa jeshi Israel akiri kuhusu nafasi ya Hamas Ukanda wa Ghaza

    Kamanda wa jeshi Israel akiri kuhusu nafasi ya Hamas Ukanda wa Ghaza

    Oct 21, 2016 04:16

    Kamanda wa zamani wa jeshi la Israel amekiri kuwa ni vigumu kuifuta Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.

  • Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina

    Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina

    Oct 20, 2016 10:30

    Chama cha Kiislamu cha al-Wefaq cha Bahrain kimesema hakuna nafasi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo na kusisitiza kuwa wananchi wa Bahrain wataendelea kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Wazayuni waendelea kuua watoto wadogo Palestina

    Wazayuni waendelea kuua watoto wadogo Palestina

    Oct 17, 2016 23:41

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendelea kufanya jinai dhidi ya Wapalestina kwa kuwashambulia, kuwaua na kuwateka nyara watoto wadogo wa Kipalestina.

  • Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh

    Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh

    Oct 17, 2016 23:40

    Kamanda wa ngazi za juu wa jeshi nchini Syria amesema, kuna ushahidi wa kutosha kuwa Marekani, Saudi Arabia na Israel ni waungaji mkono wakuu wa magaidi wa ISIS (Daesh) huko Syria na Iraq.

  • Iran yaonya juu ya kuendelea kuuziwa silaha Saudia, Israel

    Iran yaonya juu ya kuendelea kuuziwa silaha Saudia, Israel

    Oct 15, 2016 04:43

    Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu kuendelea kuuziwa silaha utawala wa kifalme wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa hatua hiyo itakuwa na maafa makubwa katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • UN yalaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    UN yalaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Oct 15, 2016 04:40

    Kikao maalumu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kimekosoa vikali kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Hatua ya Israel ya kuuzuia ujumbe wa ICC kuingia Ukanda wa Gaza

    Hatua ya Israel ya kuuzuia ujumbe wa ICC kuingia Ukanda wa Gaza

    Oct 10, 2016 04:06

    Ujumbe kutoka ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) siku ya Jumamosi uliwasili katika ardhi za Palestina zilizovamiwa na kuanza kukaliwa kwa mabavu mwaka 1948 (Israel). Ujumbe huo umepangiwa kutembelea pia eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, lakini hautofika Ukanda wa Gaza baada ya Israel kuuzuia kufanya hivyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS