-
Radiamali ya UN kwa vitendo vya kichokozi na kujitanua vya Israel
Jul 26, 2016 03:23Umoja wa Mataifa na viongozi wa Palestina wamelaani vikali mipango ya Israel ya kupanua ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Hamas yaonyesha silaha zake katika vita vya siku 50 na Israel
Jul 23, 2016 12:01Brigedi ya Izuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeonyesha silaha zake mbalimbali ilizotumia katika vita vya siku 50 dhidi ya adui Mzayuni mwaka 2014.
-
Jumamosi, Julai 23, 2016
Jul 22, 2016 23:57Leo ni Jumamosi tarehe 18 Mfunguo Mosi Shawwal 1437 Hijria mwafaka na tarehe 23 Julai mwaka 2016 Miladia.
-
Mgomo wa chakula, radiamali ya mateka wa Palestina kwa mashinikizo ya Israel
Jul 19, 2016 02:56Kuongezeka mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala huo ghasibu, kumewalazimisha Wapalestina hao watumia njia pekee waliyobaki nayo, ya kugoma kula chakula.
-
Mwambata wa kijeshi wa Uturuki huko Israel alipanga jaribio la mapinduzi
Jul 17, 2016 03:35Duru za habari za Kizayuni zimetangaza kuwa mmoja wa waliopaga jaribio la mapinduzi ya serikali huko Uturuki alikuwa ni mwambata wa kijeshi wa nchi hiyo huko Israel.
-
Ndege za kivita za Israel zaendelea kukiuka usitishwaji vita Ghaza
Jul 14, 2016 02:09Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimetekeleza hujuma nyingine katika Ukanda wa Ghaza ikiwa ni ukikwaji wa usitishwaji vita katika eneo hilo la Palestina lililo chini ya mzingiro.
-
Sisitizo la chama cha Likud la kuuliwa Wapalestina zaidi
Jul 12, 2016 02:59Licha ya jamii ya kimataifa kulalamikia vikali mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina, kundi moja la wabunge wa utawala huo katili limekutana na kuhimiza kuongezwa mashinikizo ya kisiasa, kijeshi na kiuchumi dhidi ya Wapalestina.
-
Uchunguzi wa kashfa za ufisadi dhidi ya Netanyahu waanza rasmi
Jul 11, 2016 03:13Mwezi mmoja baada ya televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutangaza kuwa, polisi ya utawala huo inaendesha uchunguzi wa siri kuhusiana na kashfa za ufisadi wa fedha dhidi Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu, sasa Mwanasheria Mkuu wa utawala huo amesema uchunguzi huo umefunguliwa rasmi.
-
Waziri wa Utawala wa Kizayuni wa Israel ataka viongozi wa Hamas watekwe nyara
Jul 08, 2016 22:59Waziri mmoja katika utawala wa Kizayuni wa Israel ametaka viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Hamas inayotawala Ukanda wa Ghaza watekwe nyara.
-
Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali uhusiano wa nchi yao na Israel
Jul 06, 2016 23:52Viongozi wa Waislamu katika eneo la Pwani nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu.