Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Radiamali ya UN kwa vitendo vya kichokozi na  kujitanua vya Israel

    Radiamali ya UN kwa vitendo vya kichokozi na kujitanua vya Israel

    Jul 26, 2016 03:23

    Umoja wa Mataifa na viongozi wa Palestina wamelaani vikali mipango ya Israel ya kupanua ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Hamas yaonyesha silaha zake katika vita vya siku 50 na Israel

    Hamas yaonyesha silaha zake katika vita vya siku 50 na Israel

    Jul 23, 2016 12:01

    Brigedi ya Izuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeonyesha silaha zake mbalimbali ilizotumia katika vita vya siku 50 dhidi ya adui Mzayuni mwaka 2014.

  • Jumamosi, Julai 23, 2016

    Jumamosi, Julai 23, 2016

    Jul 22, 2016 23:57

    Leo ni Jumamosi tarehe 18 Mfunguo Mosi Shawwal 1437 Hijria mwafaka na tarehe 23 Julai mwaka 2016 Miladia.

  • Mgomo wa chakula, radiamali ya mateka wa Palestina kwa mashinikizo ya Israel

    Mgomo wa chakula, radiamali ya mateka wa Palestina kwa mashinikizo ya Israel

    Jul 19, 2016 02:56

    Kuongezeka mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala huo ghasibu, kumewalazimisha Wapalestina hao watumia njia pekee waliyobaki nayo, ya kugoma kula chakula.

  • Mwambata wa kijeshi wa Uturuki huko Israel alipanga jaribio la mapinduzi

    Mwambata wa kijeshi wa Uturuki huko Israel alipanga jaribio la mapinduzi

    Jul 17, 2016 03:35

    Duru za habari za Kizayuni zimetangaza kuwa mmoja wa waliopaga jaribio la mapinduzi ya serikali huko Uturuki alikuwa ni mwambata wa kijeshi wa nchi hiyo huko Israel.

  • Ndege za kivita za Israel zaendelea kukiuka usitishwaji vita Ghaza

    Ndege za kivita za Israel zaendelea kukiuka usitishwaji vita Ghaza

    Jul 14, 2016 02:09

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimetekeleza hujuma nyingine katika Ukanda wa Ghaza ikiwa ni ukikwaji wa usitishwaji vita katika eneo hilo la Palestina lililo chini ya mzingiro.

  • Sisitizo la chama cha Likud la kuuliwa Wapalestina zaidi

    Sisitizo la chama cha Likud la kuuliwa Wapalestina zaidi

    Jul 12, 2016 02:59

    Licha ya jamii ya kimataifa kulalamikia vikali mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina, kundi moja la wabunge wa utawala huo katili limekutana na kuhimiza kuongezwa mashinikizo ya kisiasa, kijeshi na kiuchumi dhidi ya Wapalestina.

  • Uchunguzi wa kashfa za ufisadi dhidi ya Netanyahu waanza rasmi

    Uchunguzi wa kashfa za ufisadi dhidi ya Netanyahu waanza rasmi

    Jul 11, 2016 03:13

    Mwezi mmoja baada ya televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutangaza kuwa, polisi ya utawala huo inaendesha uchunguzi wa siri kuhusiana na kashfa za ufisadi wa fedha dhidi Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu, sasa Mwanasheria Mkuu wa utawala huo amesema uchunguzi huo umefunguliwa rasmi.

  • Waziri wa Utawala wa Kizayuni wa Israel ataka viongozi wa Hamas watekwe nyara

    Waziri wa Utawala wa Kizayuni wa Israel ataka viongozi wa Hamas watekwe nyara

    Jul 08, 2016 22:59

    Waziri mmoja katika utawala wa Kizayuni wa Israel ametaka viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Hamas inayotawala Ukanda wa Ghaza watekwe nyara.

  • Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali uhusiano wa nchi yao na Israel

    Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali uhusiano wa nchi yao na Israel

    Jul 06, 2016 23:52

    Viongozi wa Waislamu katika eneo la Pwani nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS