Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel kujenga ukuta wa chini ya ardhi huko Ghaza

    Israel kujenga ukuta wa chini ya ardhi huko Ghaza

    Jun 17, 2016 23:58

    Israel inajiandaa kujenga ukuta mkubwa wa saruji huko Ukanda wa Ghaza. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth

  • Israel yawakatia maji Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Israel yawakatia maji Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jun 15, 2016 02:48

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakatia huduma za maji Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan licha ya joto kali na hitajio kubwa la bidhaa hiyo muhimu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Upinzani wa Israel kwa mpango wa amani wa Waarabu

    Upinzani wa Israel kwa mpango wa amani wa Waarabu

    Jun 14, 2016 03:34

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesisitiza kwa mara nyengine tena kuwa anapinga mpango wa amani uliopendekezwa na nchi za Kiarabu.

  • Israel yafuta maeneo matakatifu ya Kiislamu katika ramani mpya

    Israel yafuta maeneo matakatifu ya Kiislamu katika ramani mpya

    Jun 13, 2016 21:59

    Wizara ya Utalii ya utawala wa Kizayuni wa Israel imechapisha ramani mpya ya mji wa Quds tukufu ambayo ndani yake maeneo yote matakatifu ya Kiislamu na Kikristo yamefutwa.

  • Wazayuni wazidi kuwateka nyara wanawake na wasichana wa Kipalestina

    Wazayuni wazidi kuwateka nyara wanawake na wasichana wa Kipalestina

    Jun 13, 2016 10:22

    Tangu ilipoanza Intifadha ya Quds mwanzoni mwa mwezi Oktoba 2015 hadi hivi sasa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshawateka nyara makumi ya wanawake na washichana wa Kipalestina.

  • UN yaikosoa Israel kuwakataza Wapalestina kuingia katika ardhi zao

    UN yaikosoa Israel kuwakataza Wapalestina kuingia katika ardhi zao

    Jun 10, 2016 23:19

    Umoja wa Mataifa umeukosoa utawala haramu wa Israel kwa kuwazuia Wapalestina kuingia na kutembea katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.

  • Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria

    Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria

    Jun 10, 2016 09:52

    Imerifiwa kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unawapelekea misaada ya chakula wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika maeneo ambayo yako chini ya udhibiti wao nchini Syria.

  • Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan

    Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan

    Jun 09, 2016 09:25

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewapiga marufuku Wapalestina kutembeleana na kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu, katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, kufuatia shambulizi dhidi ya Tel Aviv.

  • Kuteuliwa utawala wa Kizayuni kuongoza kamati ya sheria ya Umoja wa Mataifa

    Kuteuliwa utawala wa Kizayuni kuongoza kamati ya sheria ya Umoja wa Mataifa

    Jun 09, 2016 02:30

    Harakati kubwa zilizofanywa kuupatia utawala wa Kizayuni wa Israel uwanachama kwenye Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na kuupatia uongozi utawala huo kwenye baraza hilo ambako kumeonyesha ufanyaji mkubwa wa mambo kisiasa na upotoshaji malengo na vigezo vya kisheria katika chombo hicho cha kisheria cha UN, vimezidi kudhihirisha jinsi suala la haki za binadamu linavyoendelea kutumiwa kisiasa.

  • Palestina: Ni kinaya kuteuliwa Israel kuongoza kamati ya UN

    Palestina: Ni kinaya kuteuliwa Israel kuongoza kamati ya UN

    Jun 08, 2016 23:12

    Afisa wa ngazi za juu wa Palestina ameitaja kama kichekesho na kinaya, hatua ya kuteuliwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS