Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Radiamali mbalimbali kuhusu kimya cha nchi za Kiarabu mbele ya jinai za Israel

    Radiamali mbalimbali kuhusu kimya cha nchi za Kiarabu mbele ya jinai za Israel

    Jun 08, 2016 01:40

    Harakati ya Hizbullahi ya Lebanon imelaani kimya cha nchi za Kiarabu mbele ya jinai za Wazayuni na kusema kukwa, kimya hicho ni mkamilishaji wa siasa za kuwa na uhusiano wa kawaida kati ya nchi hizo na Israel.

  • Waziri: Israel inahusika na wimbi la mauaji linaloshuhudiwa Bangladesh

    Waziri: Israel inahusika na wimbi la mauaji linaloshuhudiwa Bangladesh

    Jun 07, 2016 03:11

    Serikali ya Bangladesh imesema yumkini kuna mkono wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika wimbi la mauaji linaloendelea kushuhudiwa nchini humo.

  • Walowezi wa Kizayuni wafanya maandamano Quds, wavamia al-Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni wafanya maandamano Quds, wavamia al-Aqsa

    Jun 06, 2016 02:59

    Maelfu ya walowezi wa Kizayuni wamefanya maandamano ya kutiliwa shaka mashariki mwa Quds inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel na kuzusha hali ya taharuki katika eneo hilo.

  • 40% ya Waingereza, 33% ya Wamarekani wanaunga mkono kususiwa Israel

    40% ya Waingereza, 33% ya Wamarekani wanaunga mkono kususiwa Israel

    Jun 01, 2016 02:21

    Zaidi ya thuluthi moja ya Wamarekani na karibu nusu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kususiwa na kuwekewa vikwazo utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina

    Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina

    May 29, 2016 23:56

    Utawala wa Kizayuni wa Israel na waitifaki wake ikiwemo Misri, Umoja wa Falme za Kiarabu na Jordan zinapanga njama ya kumuondoa madarakani Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas.

  • Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah

    Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah

    May 27, 2016 23:17

    Mkuu wa harakati ya el Marada ya Lebanon amesema kuwa, vikwazo vya kifedha vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Hizbullah haviwezi kuidhoofisha harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu.

  • Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel

    Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel

    May 27, 2016 03:21

    Uholanzi imekataa wito wa utawala wa kibaguzi wa Israel wa kupiga marufuku kampeni inayozidi kupanuka ya kimataifa ya kutaka walimwengu wasusie bidhaa za Israel.

  • Palestina: Baraza jipya la mawaziri la Israel tishio kwa eneo

    Palestina: Baraza jipya la mawaziri la Israel tishio kwa eneo

    May 25, 2016 09:56

    Katibu Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, baraza jipya la mawaziri la utawala haramu wa Israel ni tishio kwa usalama na utulivu wa eneo zima la Mashariki ya Kati.

  • Sheikh Naeem Qassim: Muqwama wa Lebanon umejiweka tayari kukabiliana na Israel

    Sheikh Naeem Qassim: Muqwama wa Lebanon umejiweka tayari kukabiliana na Israel

    May 25, 2016 03:01

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa harakati hiyo ya muqawama iko tayari kikamilifu kukabiliana na vitisho na uvamizi unaoweza kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mamlaka ya Palestina yakataa takwa la Israel la mazungumzo ya ana kwa ana

    Mamlaka ya Palestina yakataa takwa la Israel la mazungumzo ya ana kwa ana

    May 24, 2016 11:50

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Rami Hamdallah amekataa takwa la utawala wa Kizayuni wa Israel la kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na mamlaka hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS