Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Jumanne, Mei 24, 2016

    Jumanne, Mei 24, 2016

    May 23, 2016 23:21

    Leo ni Jumanne 17 Shaaban mwaka 1437 Hijria mwafaka na tarehe 24 Mei mwaka 2016 Miladia.

  • UN: Tunasikitishwa na kuongezeka jinai za Israel  dhidi ya Wapalestina

    UN: Tunasikitishwa na kuongezeka jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 21, 2016 11:28

    Umoja wa Mataifa umeelezea kusikitishwa kwake na ongezeko la jinai za Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Wapalestina  waandamana Siku ya Nakba, wasisitiza mapambano dhidi ya Israel

    Wapalestina waandamana Siku ya Nakba, wasisitiza mapambano dhidi ya Israel

    May 15, 2016 23:05

    Wapalestina wameandamana Jumapili katika maeneo mbalimbali ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 68 tangu ulipoundwa utawala bandia na haramu wa Israel mwaka 1948.

  • Mohsen Rezai: Daesh ni mdhamini wa usalama wa Israel

    Mohsen Rezai: Daesh ni mdhamini wa usalama wa Israel

    May 13, 2016 23:20

    Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushamiri na kuenea makundi ya kitakfiri na kigaidi kumevuruga amani ya eneo la Mashariki ya Kati na kudhamini usalama wa utawala wa Kizayuni.

  • Kasisi mmoja Mzayuni akumbwa na kashfa ya fedha, maadili

    Kasisi mmoja Mzayuni akumbwa na kashfa ya fedha, maadili

    May 12, 2016 23:40

    Kasisi mmoja Mzayuni ambaye ni mtu wa karibu sana na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekumbwa na kashfa za fedha na maadili.

  • Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina

    Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina

    May 10, 2016 23:47

    Gazeti moja la kila siku la nchini Tanzania limeandika makala changanuzi kuhusu historia ya uungaji mkono wa Tanzania kwa taifa madhlumu la Palestina.

  • Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015

    Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015

    May 10, 2016 00:19

    Mjumbe wa Bunge la Utawala haramu wa Israel (Knesset) amefichua kuwa Mfalme Salman bin Abdulazizi wa Saudi Arabia alifadhili kampeni za uchaguzi za waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mwaka 2015.

  •  Mjumbe wa Venezuela ashindwa kuvumilia jinai za Israel

    Mjumbe wa Venezuela ashindwa kuvumilia jinai za Israel

    May 07, 2016 23:17

    Wawakilishi wa Venezuela na utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambuliana kwa maneno katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na Palestina.

  • Livingstone: Kubuniwa Israel ni janga kubwa duniani

    Livingstone: Kubuniwa Israel ni janga kubwa duniani

    May 07, 2016 03:41

    Meya wa zamani wa London nchini Uingereza amesema kuanzishwa utawala haramu wa Israel ni janga kubwa la kihistroria ambalo taathira zake hasi zinaendelea kushuhudiwa.

  • Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    May 06, 2016 08:38

    Afisa mwandamizi wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani kile alichokitaja kuwa juhudi za utawala wa Aal-Saud za kukwamisha muqawama wa Wapalestina dhidi ya utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa serikali ya Saudi Arabia inaunga mkono hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS