Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Merkel aikosoa Israel kwa kuendeleza ujenzi wa vitongoji

    Merkel aikosoa Israel kwa kuendeleza ujenzi wa vitongoji

    Apr 20, 2016 03:18

    Chansela wa Ujerumani amekosoa hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu na kusema kuwa ujenzi huo unazuia mchakato wa amani.

  • Ban asema Israel inavuruga mpango wa amani

    Ban asema Israel inavuruga mpango wa amani

    Apr 19, 2016 10:57

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amekosoa vikali hatua ya Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Russia kuisaidia Palestina kutatua mzozo kati yake na Israel

    Russia kuisaidia Palestina kutatua mzozo kati yake na Israel

    Apr 19, 2016 03:23

    Rais wa Russia Vladimir Putin amesema nchi yake itasaidia juhudi za Palestina za kuupatia ufumbuzi mgogoro kati yake na utawala wa kizayuni wa Israel kwa njia ya mazungumzo.

  • Maandamano ya Siku ya Wafungwa wa Kipalestina

    Maandamano ya Siku ya Wafungwa wa Kipalestina

    Apr 17, 2016 23:41

    Mamia ya wananchi wa Palestina jana Jumapili walifanya maandamano katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Gaza katika maadhimisho ya Siku ya Wafungwa wa Kipalestina.

  • Maandamano ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Maandamano ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Apr 15, 2016 23:42

    Wapalestina wa maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kesi 40 zaripotiwa za waenezaji itikadi za mauaji ya kimbari Rwanda

    Kesi 40 zaripotiwa za waenezaji itikadi za mauaji ya kimbari Rwanda

    Apr 15, 2016 03:42

    Polisi wa Rwanda wameripoti kuwepo kesi 40 za hivi karibuni za wanaohusika na kueneza itikadi ya mauaji ya halaiki wakati wa wiki ya kuadhimisha mauaji ya halaiki iliyomalizika Jumatano iliyopita.

  • Iran yajibu tuhuma za Saudia na Utawala wa Kizayuni

    Iran yajibu tuhuma za Saudia na Utawala wa Kizayuni

    Apr 15, 2016 03:14

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa jibu kali kwa matamshi yasiyo na msingi ya mabalozi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudia dhidi ya Iran.

  • Israel inashirikiana na waasi kufanya magendo ya dhahabu Sudan

    Israel inashirikiana na waasi kufanya magendo ya dhahabu Sudan

    Apr 14, 2016 09:48

    Imearifiwa kuwa utawala wa kizayuni wa Israel unashirikiana na makundi ya waasi nchini Sudan kufanya magendo ya dhahabu na madini ya urani katika jimbo la Kordofan Kusini.

  • Israel yaktaa kufichua nafasi yake katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Israel yaktaa kufichua nafasi yake katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Apr 13, 2016 02:55

    Mahakama ya Juu ya utawala wa kizayuni wa Israel imepitisha kuwa, nyaraka za mauzo ya silaha ya utawala huo haramu kwa serikali ya Rwanda wakati wa mauaji ya kimbari katika nchi hiyo ya Kiafrika mwaka 1994, hazitawekwa wazi kwa wananchi na zitaendelea kufichwa na kubakia siri kuu ya utawala huo.

  • Sanders akosoa mashambulizi ya Israel dhidi ya watu wa Gaza

    Sanders akosoa mashambulizi ya Israel dhidi ya watu wa Gaza

    Apr 10, 2016 23:56

    Mgombea tiketi ya chama cha Democratic kwa ajili ya kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais nchini Marekani, Bernie Sanders amekosoa vikali mashambulizi ya mwaka 2014 ya utawala haramu wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS