-
Juhudi za wajumbe wa Kiislamu katika Kongamano la Kitaifa la Democratic kwa ajili ya kuiwekea vikwazo Israel
Aug 20, 2024 02:26Makumi ya wajumbe na makundi ya Kiislamu yanayokerwa na uungaji mkono wa Marekani kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza, wanapanga kufanya mabadiliko katika mpango wa uchaguzi wa Chama cha Democratic na kutilia mkazo suala la kuwekwa vikwazo vya silaha dhidi ya Israel.
-
Kiwewe cha shambulizi la kilipiza kisasi la Iran; Safari zote za ndege za Marekani kwenda Israel zafutwa
Aug 18, 2024 23:38Shirika la Redio na Televisheni la Israel limetangaza kuwa safari zote za ndege za Marekani kuelekea katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) zimefutwa.
-
Hizbullah: Hakuna shaka tutatoa jibu kwa mauaji ya kigaidi ya Israel
Aug 16, 2024 07:13Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon kwa mara nyingine tena imesisitiza azma yake ya kulipiza kisasi cha mauaji ya Israel dhidi ya kamanda mwandamizi wa kundi hilo la Mapambano ya Kiislamu, licha ya juhudi za Marekani za kuukingia kifua utawala huo wa Kizayuni na kutaka kuuepusha na matokeo mabaya ya jinai zake.
-
Kan’ani: Utawala wa Kizayuni unafanya jinai dhidi ya binadamu kwa uungaji mkono wa Marekani
Aug 15, 2024 09:55Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema: Utawala wa kigaidi na kibaguzi wa Israel unajishughulisha na kutenda jinai dhidi ya binadamu kwa uungaji mkono kamili wa serikali ya Marekani.
-
Israel inashinikiza ICC ifute waranti wa kukamatwa Netanyahu
Aug 15, 2024 04:13Utawala wa Kizayuni umeripotiwa kushadidisha 'mashinikizo ya kidiplomasia' dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ambayo inataka kutolewa waranti wa kukamatwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na waziri wa vita wa utawala huo haramu, Yoav Gallant, kwa sababu ya kuhusika na uhalifu wa kivita.
-
Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu vita vya Ghaza; makabiliano ya Marekani na Jamii ya Kimataifa
Aug 14, 2024 07:45Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa cha kujadili shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Skuli ya Al-Tabeen katika Ukanda wa Ghaza kilifanyika siku ya Jumanne ambapo akthari ya wanachama wa Baraza hilo walilaani jinai ya utawala huo na kusisitiza juu ya ulazima wa kusitishwa vita mara moja huko Ghaza.
-
Takwa la Waislamu wa Marekani kwa Biden la kulaani ugaidi wa kiserikali wa Israel
Aug 11, 2024 10:10Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limemtaka Rais Joe Biden wa nchi hiyo ajibu na kulaani vitendo vya ugaidi wa kiserikali vinavyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Iran: Hatutaruhusu Israel ichochee moto wa vita Asia Magharibi
Aug 11, 2024 04:05Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafanya hima kuzuia utawala wa Kizayuni wa Israel utimize ndoto yake ya kuwasha na kuchochea moto wa vita vya pande zote katika eneo la Asia Magharibi.
-
Ripota wa UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza kwa silaha za US, Ulaya
Aug 11, 2024 04:05Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Haki za Binadamu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuendelea kufanya mauaji na jinai nyingine za kutisha dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
CAIR yamtaka Biden 'alaani' ugaidi wa kiserikali wa Israel
Aug 11, 2024 04:04Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limemtaka Rais Joe Biden wa nchi hiyo ajibu na kulaani vitendo vya ugaidi wa kiserikali vinavyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.