Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Pezeshkian: Waislamu lazima waungane kukomesha jinai za Israel

    Pezeshkian: Waislamu lazima waungane kukomesha jinai za Israel

    Aug 26, 2024 23:05

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuna haja kwa mataifa ya Waislamu pamoja na nchi nyingine duniani kuungana na kuwa na sauti moja katika kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake kukomesha mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.

  • CAIR: Israel imetangaza vita dhidi ya Uislamu kwa kuchoma moto Qur'ani

    CAIR: Israel imetangaza vita dhidi ya Uislamu kwa kuchoma moto Qur'ani

    Aug 25, 2024 23:00

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limelaani vikali kitendo cha wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuchoma moto nakali za Qur'ani Tukufu katika Ukanda wa Gaza.

  • Wanaharakati waitaka Afrika Kusini iiwekee Israel vikwazo vya biashara

    Wanaharakati waitaka Afrika Kusini iiwekee Israel vikwazo vya biashara

    Aug 25, 2024 22:59

    Wanaharakati wameitaka Afrika Kusini iuwekee utawala wa Kizayuni wa Israel vikwazo vya kibiashara na kusimamisha mara moja mauzo ya nje ya bidhaa zake kwa utawala huo pandikizi.

  • Hizbullah yakitwanga makombora kituo cha anga cha Israel, yateketeza mitambo ya ujasusi

    Hizbullah yakitwanga makombora kituo cha anga cha Israel, yateketeza mitambo ya ujasusi

    Aug 23, 2024 23:05

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekishambulia kwa makombora kadhaa kituo cha uongozaji wa shughuli za anga cha Meron cha utawala wa Kizayuni wa Israel na kubomoa mitambo ya ujasusi ya kituo hicho.

  • Ombi la Shirika la Haki za Binadamu la Ulaya-Mediterranean la kuwekewa vikwazo Israel

    Ombi la Shirika la Haki za Binadamu la Ulaya-Mediterranean la kuwekewa vikwazo Israel

    Aug 22, 2024 07:16

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Ulaya na Mediterania (The Euro-Mediterranean Human Rights Monitor-Euro-Med-) limeonya katika taarifa yake siku ya Jumatano kuhusu amri za mara kwa mara za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuwataka Wapalestina wahame katika maeneo tofauti ya Gaza na kuzitaka nchi za dunia ziuwekee vikwazo utawala huo ghasibu na zisiuunge mkono.

  • Iran: Mbinu na muda wa jibu letu vitaishangaza mno Israel

    Iran: Mbinu na muda wa jibu letu vitaishangaza mno Israel

    Aug 21, 2024 04:23

    Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imesema Jamhuri ya Kiislamu inapanga kwa makini muda na mbinu ya kulipiza kisasi cha mauaji ya kigaidi ya aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Wapalestina (HAMAS), Ismail Haniyah akiwa hapa Tehran.

  • Mchambuzi: Nasrullah amedhoofisha uwezo wa kujihami wa Israel

    Mchambuzi: Nasrullah amedhoofisha uwezo wa kujihami wa Israel

    Aug 20, 2024 23:28

    Mtafiti mmoja wa Kizayuni amekiri uwezo wa Katibu Mkuu wa Hakarati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah na kusisitiza kuwa, kiongozi huyo wa Muqawama wa Lebanon amedhoofisha uwezo wa kuzuia mashambulizi wa utawala wa Kizayuni.

  • Mwakilishi wa Israel atoa wito wa kutenguliwa Umoja wa Mataifa

    Mwakilishi wa Israel atoa wito wa kutenguliwa Umoja wa Mataifa

    Aug 20, 2024 23:27

    Katika taarifa ya kushangaza, balozi wa utawala haramu wa Israel katika Umoja wa Mataifa, Gilad Erdan, ametoa wito wa kuvunjwa kikamilifu Umoja wa Mataifa.

  • Juhudi za wajumbe wa Kiislamu katika Kongamano la Kitaifa la Democratic kwa ajili ya kuiwekea vikwazo Israel

    Juhudi za wajumbe wa Kiislamu katika Kongamano la Kitaifa la Democratic kwa ajili ya kuiwekea vikwazo Israel

    Aug 20, 2024 02:26

    Makumi ya wajumbe na makundi ya Kiislamu yanayokerwa na uungaji mkono wa Marekani kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza, wanapanga kufanya mabadiliko katika mpango wa uchaguzi wa Chama cha Democratic na kutilia mkazo suala la kuwekwa vikwazo vya silaha dhidi ya Israel.

  •  Kiwewe cha shambulizi la kilipiza kisasi la Iran; Safari zote za ndege za Marekani kwenda Israel zafutwa

    Kiwewe cha shambulizi la kilipiza kisasi la Iran; Safari zote za ndege za Marekani kwenda Israel zafutwa

    Aug 18, 2024 23:38

    Shirika la Redio na Televisheni la Israel limetangaza kuwa safari zote za ndege za Marekani kuelekea katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) zimefutwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS