-
Utawala wa Kizayuni wazidi kutengwa kimataifa
Apr 18, 2024 00:58Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika katika ripoti yake kuwa Israel inaendelea kutengwa pakubwa duniani kote.
-
Rais wa Uturuki: Israel imempiku Hitler kwa kuua watoto 14,000 wasio na hatia Ghaza
Apr 17, 2024 07:41Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, Israel tayari imempiku kiongozi wa Wanazi Adolf Hitler kwa kuua zaidi ya watoto 14,000 wasio na hatia katika Ukanda wa Ghaza.
-
NYT yaagiza waandishi wake: Msitumie misamiati ya 'mauaji ya kimbari', 'uangamizaji wa kizazi' katika vita vya Israel
Apr 17, 2024 07:18Taasisi ya uchunguzi wa taarifa za mitandaoni nchini Marekani ya Intercept imefichua kuwa gazeti la New York Times limewaagiza waandishi na maripota wake wa habari wanaoripoti vita vya mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza, wajizuie kutumia misamiati ya "mauaji ya kimbari" na "uangamizaji wa kizazi" na kupeuka kutumia neno “eneo linalokaliwa kwa mabavu” kumaanisha ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Kikao cha Baraza la Usalama: Uwanja wa makabiliano kati ya waungaji mkono wa Iran na Wamagharibi wanaounga mkono utawala wa Kizayuni.
Apr 16, 2024 04:24Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kujadili mashambulizi ya Iran ya kuuadhibu utawala wa Israel kilifanyika Jumapili jioni tarehe 14 Aprili, kikao ambacho kilibadilika na kuwa uwanja wa makabiliano kati ya nchi zinazounga mkono Iran na kambi ya Magharibi waitifaki wa utawala wa Kizayuni.
-
Russia yakosoa kimya cha Baraza la Usalama baada ya shambulio la Israel katika ubalozi mdogo wa Iran, Syria
Apr 15, 2024 00:58Russia imekosoa hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kushindwa kuchukua hatua inayofaa baada ya utawala wa Israel kushambulia jengo la ubalozi mdogo wa Iran huko Damascus mji mkuu wa Syria.
-
Yemen yatetea jibu la kijeshi la Iran kwa utawala wa Kizayuni
Apr 15, 2024 00:56Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Serikali ya Uokovuwa Kitaifa ya Yemen imetaja hatua ya Iran ya kuvurumisha makombora na ndege zisizo na rubani (drone) katika kujibu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika sehemu ya ubalozi mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu huko Damascus, Syria kuwa ni jibu halali na lililotekelezwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa.
-
IRGC yaikamata meli yenye uhusiano na Israel katika Mlango-Bahari wa Hormuz
Apr 13, 2024 09:26Shirika rasmi la habari la Jamhuri ya Kiisamu ya Iran IRNA limeripoti kuwa kikosi maalumu cha wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimekamata meli ya makontena ya MCS Aries yenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na Mlango-Bahari wa Hormuz.
-
Netanyahu anataka kubadilisha uwanja wa mchezo
Apr 12, 2024 08:42Hamjambo na karibuni katiika kipindi chetu cha wiki hii cha Makala ya Wiki kinachobeba anwani: Netanyahu anataka kubadilisha uwanja wa mchezo.
-
Kuongezeka kimataifa uungaji mkono kwa kampeni ya kususia bidhaa za Israeli
Apr 11, 2024 23:59Huku mauaji ya kimbari yakiwa yanaendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza, nchi nyingi duniani zinaendelea kujiunga na kampeni ya kususia bidhaa za Israel na vilevile za makampuni mengi ya Kimarekani yanayouunga mkono utawala huo wa kibaguzi.
-
UN: Israel inaichezea tu misamiati kama "ngao ya binadamu" na "maeneo yenye usalama"
Apr 11, 2024 04:25Ripota wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesisitiza kuwa, viongozi wa utawala wa Kizayuni na askari wa utawala huo wanapotosha na wanaichezea misingi ya sheria za kimataifa ili kuhalalisha ukatili na uchokozi wao.