-
Askari wa Israel waendelea kuangamizwa na wanamuqawama Gaza
May 11, 2024 04:29Wanajeshi wengine watano wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa katika shambulizi la ulipizaji kisasi lililofanywa na Mujahidina wa Brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Ukanda wa Gaza.
-
Afrika Kusini yaandaa mkutano wa kimataifa dhidi ya ubaguzi wa rangi wa Israel
May 10, 2024 07:25Mkutano wa Kimataifa dhidi ya Ubaguzi wa Rangi wa Israel huko Palestina ulitazamiwa kuanza leo Ijumaa katika Jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini na utaendelea na kazi zake hadi tarehe 12 Mei mwaka huu.
-
Al Houthi: Yemen italenga meli zenye uhusiano na Israel bila kujali zinakoenda
May 10, 2024 06:40Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul Malik al-Houthi, amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vitalenga meli za kampuni yoyote inayohusiana na kusambaza au kusafirisha bidhaa hadi Israel bila kujali zinakoelekea.
-
Muqawama wa Iraq washambulia maeneo ya kistratajia ya Israel, Eilat
May 10, 2024 03:54Harakati ya Kiislamu ya Iraq imetangaza kuwa imeshambulia maeneo ya kistratajia ya Israel katika mji wa Eilat, ulioko kusini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Yemen yashambulia meli 3 za Waisraeli katika Ghuba ya Aden, Bahari ya Hindi
May 09, 2024 22:39Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema vikosi vya jeshi la majini, anga na makombora vya nchi hiyo vimezishambulia meli tatu zenye uhusiano na Israel kama sehemu ya kampeni ya baharini ya kuwaunga mkono na kuwatetea Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Madai ya Marekani ya kusimamisha kuupelekea silaha utawala wa Kizayuni wa Israel
May 09, 2024 22:38Waziri wa Ulinzi wa Marekani Lloyd Austin alidai siku ya Jumatano mbele ya Baraza la Seneti la nchi hiyo kwamba kuupelekea silaha utawala wa Kizayuni wa Israel kumesimamishwa kwa sababu ya utawala huo kutekeleza operesheni ya kuivamia kijeshi Rafah, lakini pamoja na hayo bado hawajachukua uamuzi rasmi kuhusu hatima ya shehena hiyo ya silaha.
-
AU yailaani Israel kwa kupanua mashambulizi yake hadi Rafah
May 08, 2024 23:01Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani vikali mashambulizi ya utawala haramu wa Israel katika mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Harakati ya kimataifa ya mwamko wa wanafunzi wa vyuo vikuu dhidi ya Wazayuni
May 08, 2024 04:45Harakati ya mwamko ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel iliyoanzia katika Chuo Kikuu cha Columbia mjini New York sasa imesambaa katika vyuo vikuu vya nchi nyingine duniani.
-
Eslami: Mienendo ya kiuhasama ya Israel isiathiri uhusiano wa Iran na IAEA
May 07, 2024 22:53Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema hatua na mienendo ya kiuadui ya utawala wa Kizayuni wa Israel haipasi kuathiri uhusiano na ushirikiano baina ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Askari 3 wa Israel waangamizwa katika shambulio la HAMAS
May 06, 2024 03:42Wanajeshi watatu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa katika shambulizi la ulipizaji kisasi lililofanywa na Mujahidina wa Brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.