Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel yatambua mamlaka ya Morocco kwa eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi

    Israel yatambua mamlaka ya Morocco kwa eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi

    Jul 18, 2023 23:11

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umesema unatambua mamlaka ya Morocco katika eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi. Hayo ni kwa mujibu wa serikali ya Morocco kupitia taarifa iliyotolewa na ofisi ya waziri mkuu wa Israel.

  • Iran: Aliyechoma moto Qurani Sweden ana uhusiano na MOSSAD

    Iran: Aliyechoma moto Qurani Sweden ana uhusiano na MOSSAD

    Jul 11, 2023 04:10

    Wizara ya Intelijensia ya Iran imefichua mfungamano uliopo baina ya Salwan Momika, raia wa Sweden aliyechoma moto nakala ya Qur'ani Tukufu mjini Stockholm mwezi uliopita na shirika la ujasusi la Israeli (MOSSAD).

  • Jenerali Qaani: Vijana wa Palestina wametoa pigo kwa Wazayuni

    Jenerali Qaani: Vijana wa Palestina wametoa pigo kwa Wazayuni

    Jul 05, 2023 07:17

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amewapongeza vijana wa Palestina kwa kupambana kishujaa na kupata ushindi mkabala wa Wazayuni katika mji wa Jenin, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Iran: Mapatano ya amani na Israel hayawezi kukomesha ukatili wa utawala huo

    Iran: Mapatano ya amani na Israel hayawezi kukomesha ukatili wa utawala huo

    Jul 04, 2023 00:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa mji wa Jenin, huko kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.

  • Mifumo ya ulinzi wa anga ya Hizbullah yaitia wahaka Israel

    Mifumo ya ulinzi wa anga ya Hizbullah yaitia wahaka Israel

    Jul 01, 2023 05:52

    Gazeti moja la Kiebrania limeripoti kuwa, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel linatiwa wasi wasi na mifumo ya ulinzi wa anga ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Mashirika: Ni kosa kutoiweka Israel kwenye orodha ya fedheha ya UN

    Mashirika: Ni kosa kutoiweka Israel kwenye orodha ya fedheha ya UN

    Jun 23, 2023 07:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosolewa vikali na mashirika ya kutetea haki za binadamu kwa kutoliweke jina la utawala haramu wa Israel kwenye orodha ya tawala wauaji wa watoto.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia msikiti Nablus, wachoma moto Qurani

    Walowezi wa Kizayuni wavamia msikiti Nablus, wachoma moto Qurani

    Jun 23, 2023 06:24

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali ya kufurutu ada wamevamia msikiti mmoja na kuvunjia heshima Qurani Tukufu katika mji wa Nablus, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 3 kwa droni Ukingo wa Magharibi

    Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 3 kwa droni Ukingo wa Magharibi

    Jun 22, 2023 03:24

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limeendeleza umwagaji damu kwa kuwaua shahidi Wapalestina watatu katika shambulizi la ndege isiyo na rubani (droni) huko kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Wazayuni kadhaa waangamizwa katika shambulizi la kulipiza kisasi

    Wazayuni kadhaa waangamizwa katika shambulizi la kulipiza kisasi

    Jun 21, 2023 08:38

    Makundi ya muqawama ya Palestina yamefanya operesheni ya ulipizaji kisasi na kuwaangamiza Wazayuni wanne na kujeruhi wengine wanne karibu na Ramallah katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Raisi: Muqawama umefichua kuwa Israel haina uwezo wa kujihami

    Raisi: Muqawama umefichua kuwa Israel haina uwezo wa kujihami

    Jun 21, 2023 00:15

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kambi ya muqawama imeanika njozi na uwezo bandia wa kujihami wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS