Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Msalaba Mwekundu: Waliouawa CAR ni zaidi ya watu 115

    Msalaba Mwekundu: Waliouawa CAR ni zaidi ya watu 115

    May 17, 2017 09:15

    Wafanyakazi wa Shirika la Msalaba Mwekundu wamegundua miili 115 katika mji wa Bangassou, huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, siku chache baada ya genge la waasi wa Kikristo la Anti-Balaka kuvamia mji huo.

  • OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 16, 2017 23:03

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali mauaji ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo yametekelezwa na magaidi wa kundi la Kikristo la Anti-Balaka.

  • Anti Balaka imeua raia 30 Jamhuri ya Afrika ya Kati, mamia wajificha msikitini

    Anti Balaka imeua raia 30 Jamhuri ya Afrika ya Kati, mamia wajificha msikitini

    May 15, 2017 03:07

    Umoja wa Mataifa umesema yumkini raia zaidi ya 30 wameuawa na kundi la waasi wa Kikristo la Anti-Balaka katika mapigano yanayoendelea hivi sasa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Askari 4 wa kulinda amani wa UN wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Askari 4 wa kulinda amani wa UN wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 10, 2017 02:51

    Askari 12 wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa MINUSCA wameuawa na kujeruhiwa baada ya msafara wa magari yao kutekwa nyara na kushambuliwa na genge la waasi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • UNICEF yatahadharisha kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya watoto katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UNICEF yatahadharisha kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya watoto katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 05, 2017 23:39

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetoa indhari na onyo kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya watoto na kubakia bila makazi raia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Raia 45 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Raia 45 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 02, 2017 12:09

    Magenge ya waasi wanaobeba silaha katika Jamhuri ya Afrika ya Kati yameua makumi ya raia nchini humo katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

  • Uganda yaanza kuondoa vikosi vyake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Uganda yaanza kuondoa vikosi vyake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 19, 2017 10:44

    Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limeanza kuondoa askari wake huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambao wamekuweko nchini humo tangu mwaka 2012.

  • UN yataka kukomeshwa haraka machafuko nchini CAR

    UN yataka kukomeshwa haraka machafuko nchini CAR

    Apr 05, 2017 09:41

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka kukomeshwa haraka iwezekanavyo, mapigano na vitendo vya utumiaji mabavu vya makundi ya wabeba silaha, Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Makumi wauawa katika mashambulizi ya waasi CAR

    Makumi wauawa katika mashambulizi ya waasi CAR

    Mar 25, 2017 11:55

    Zaidi ya watu 50 wameuawa katika mashambulizi yanayofanywa maasi wanaobeba silaha huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Hali ya kibinadamu yazidi kuzorota katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Hali ya kibinadamu yazidi kuzorota katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mar 19, 2017 12:55

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa hali ya kibinadamu imeendelea kuwa mbaya katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS