Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Hali ya kibinadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi

    Hali ya kibinadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi

    Mar 09, 2017 12:56

    Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema kuwa hali ya kibinadamu nchini humo inatia wasiwasi.

  • Asasi za kimataifa zatahadharisha ongezeko la machafuko Afrika ya Kati

    Asasi za kimataifa zatahadharisha ongezeko la machafuko Afrika ya Kati

    Feb 20, 2017 04:45

    Taasisi tano za kimataifa zimetahadharisha juu ya kushadidi vitendo vya ukatili nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Kikosi cha UN Jamhuri ya Afrika ya Kati kutiwa nguvu

    Kikosi cha UN Jamhuri ya Afrika ya Kati kutiwa nguvu

    Feb 18, 2017 04:11

    Umoja wa Mataifa umeamua kukitia nguvu kikosi cha askari buluu cha umoja huo kinacholinda amani katika maeneo ya katikati mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • ECCAS yatoa wito wa kukomeshwa machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    ECCAS yatoa wito wa kukomeshwa machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 15, 2017 12:17

    Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Katikati mwa Afrika ECCAS imesisitiza kuwa, kuna haja ya kukomeshwa machafuko katika Jamhutri ya Afrika ya Kati.

  • Operesheni ya kupambana na waasi yaendelea CAR

    Operesheni ya kupambana na waasi yaendelea CAR

    Feb 11, 2017 23:31

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza habari ya kuendelea operesheni kadhaa za kupambana na makundi yenye silaha.

  • Wanne wauawa katika machafuko mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Wanne wauawa katika machafuko mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 08, 2017 13:12

    Watu wanne wameuawa baada ya kuzuka mapigano mapya baina ya watu wenye silaha na vikosi vya kulinda usalama vya Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • UN: Hali ya usalama CAR inatia wasi wasi mkubwa

    UN: Hali ya usalama CAR inatia wasi wasi mkubwa

    Jan 27, 2017 10:29

    Umoja wa Mataifa umeonyesha wasi wasi wake mkubwa kufuatia kuendelea machafuko katika baadhi ya maeneo ya katikati mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • CAR: Haki za watoto zinakiungwa sana

    CAR: Haki za watoto zinakiungwa sana

    Jan 24, 2017 11:29

    Serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imeeleza wasiwasi wake mkubwa kutokana na hali mbaya ya watoto katika nchi hiyo iliyoathiriwa na vita vya ndani.

  • UN yasisitizia udharura wa kukomesha machafuko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yasisitizia udharura wa kukomesha machafuko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 12, 2017 12:00

    Umoja wa Mataifa umetangaza azma thabiti uliyonayo ya kukabiliana na hali ya machafuko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  •  Amnesty International yataka kuhuishwa mfumo wa sheria Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Amnesty International yataka kuhuishwa mfumo wa sheria Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 12, 2017 04:07

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty Internatonal) limesema kuwa watenda jinai za kivita yakiwemo mauaji na ubakaji huko Jamhuri ya Afrika ya Kati hawaadhibiwi hatua inayochochea zaidi machafuko nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS