-
Minusca yatiwa wasiwasi na shambulio dhidi ya wanajeshi wake nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 05, 2017 04:03Umoja wa Mataifa umelaani shambulio lililofanywa dhidi ya msafara wa wanajeshi wa kofia bluu kusini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
UN yalaani machafuko Jamhuri ya Afrika ya Kati
Nov 29, 2016 03:35Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali machafuko ya hivi karibuni katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR)
-
UN: Hali ya mambo Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi
Nov 26, 2016 11:02Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu ongezeko la ukatili na takwimu za mauaji ya raia katika mapigano yaliyoanza wiki iliyopita katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
MSF: Hali ya kibinadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi
Nov 20, 2016 04:38Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limeeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
UN: $3 billioni zahitajika kuinusuru Jamhuri ya Afrika ya Kati
Nov 18, 2016 00:23Dola takribani bilioni tatu zinahitajika ili kuisaidia Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, kujikwamua baada ya miaka kadhaa ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyopeleka maelfu ya watu kuwa wakimbizi na kuliacha taifa hilo njia panda kiuchumi, kiusalama na kimaendeleo.
-
UNICEF yaonya kuhusu idadi ya watoto wakimbizi CAR
Nov 16, 2016 04:19Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, kati ya kila watoto watano wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, mmoja kati yao ni mkimbizi.
-
Kuendelea mgogoro wa Jamhuri ya Afrika ya Kati na haja ya kutolewa misaada ya kibinadamu
Nov 07, 2016 04:09Kuendelea mivutano na ghasia za kisiasa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kumepelekea hali ya mambo kuwa ngumu kwa raia, na hivyo kuifanya nchi hiyo kuhitajia pakubwa hivi sasa misaada ya kibinadamu.
-
UN: Askari wetu walio nchini CAR wanajukumu la kukabiliana na machafuko na kulinda raia
Nov 03, 2016 04:42Kwa mara nyingine Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Jan Eliasson amewataka askari wa umoja huo kukabiliana na machafuko na pia kuwalinda raia.
-
Kumalizika rasmi muda wa kuhudumu wanajeshi wa Ufaransa nchini CAR
Nov 01, 2016 04:23Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa ametangaza kumalizika rasmi muda wa kuhudumu wanajeshi wa nchi hiyo huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Kumalizika operesheni ya kikosi cha Sangaris nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati
Oct 31, 2016 04:26Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa amefanya safari nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa minajili ya kuhitimisha majukumu ya kikosi cha Sangaris nchini humo.