Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Machafuko yashtadi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Machafuko yashtadi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 30, 2016 11:38

    Hali ya usalama nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imeripoti kuwa ya kutisha.

  • Zaidi ya watu 20 wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Zaidi ya watu 20 wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 29, 2016 11:45

    Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa walioko Jamhuri ya Afrika ya Kati wamesema kuwa, watu wasiopungua 25 wameuawa katika mapigano ya hivi karibuni nchini humo.

  • Vikosi vya radiamali ya haraka vya Ufaransa kubaki CAR

    Vikosi vya radiamali ya haraka vya Ufaransa kubaki CAR

    Oct 27, 2016 10:52

    Ufaransa imesema kuwa wanajeshi wake wa radiamali ya haraka wataendelea kubakia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu harakati za waasi wa Uganda nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu harakati za waasi wa Uganda nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 27, 2016 08:35

    Kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa, idadi kadhaa ya waasi wa Uganda bado wanaendeleza harakati zao nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Hali mbaya ya kibinadamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kufuatia kuongezeka machafuko

    Hali mbaya ya kibinadamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kufuatia kuongezeka machafuko

    Oct 24, 2016 10:01

    Kuongezeka machafuko katika wiki za hivi karibuni katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kumezifanya asasi zisizo za kiserikali zinazojishughulisha na masuala ya kibinadamu zitahadharishe kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya wakimbizi wa nchi hiyo.

  • Asasi za kiraia CAR: Wakimbizi wanakabiliwa na hali mbaya ya kibinaadamu

    Asasi za kiraia CAR: Wakimbizi wanakabiliwa na hali mbaya ya kibinaadamu

    Oct 23, 2016 00:56

    Asasi zisizo za kiserikali zinazojihusisha na masuala ya kibinaadamu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, zimeonya juu ya hali ambaya ya kibinaadamu inayowakabili wakimbizi wa taifa hilo.

  • Rais wa CAR awataka wananchi wadumishe mshikamano wa kijamii

    Rais wa CAR awataka wananchi wadumishe mshikamano wa kijamii

    Oct 21, 2016 04:35

    Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amewatolea wito wananchi na makundi ya kijeshi nchini humo kufanya mapatano ya kitaifa.

  • UN yalaani kutumiwa mabavu dhidi ya raia Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yalaani kutumiwa mabavu dhidi ya raia Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 14, 2016 11:37

    Umoja wa Mataifa umelaani kuuliwa raia katika machafuko mapya ya makundi yenye silaha huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • 11 wauawa,  14 watoweka katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    11 wauawa, 14 watoweka katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 06, 2016 10:53

    Habari kutoka Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati zinaarifu kuwa, watu zaidi ya 11 wameuawa huku wengine 14 wakitoweka kufuatia mapigano makali yaliyojiri baada ya kuuawa mwanajeshi wa nchi hiyo ya kati kati mwa Afrika.

  • Mashirika ya misaada ya kibinadamu yasimamisha shughuli zao CAR

    Mashirika ya misaada ya kibinadamu yasimamisha shughuli zao CAR

    Oct 01, 2016 23:18

    Mashirika kadhaa ya kutoa misaada ya kibinadamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati yamesimamisha shughuli zao katika nchi hiyo kwa kile yalichokieleza kuwa, ni kushambuliwa wafanyakazi wao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS