Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Rais Touadéra: Jamhuri ya Afrika ya Kati inaelekea kwenye utulivu

    Rais Touadéra: Jamhuri ya Afrika ya Kati inaelekea kwenye utulivu

    Sep 25, 2016 00:48

    Rais Faustin-Archange Touadéra wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema kuwa, serikali yake imetekeleza hatua za kiusalama na kijamii.

  • Waasi waua wanakijiji 26 Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Waasi waua wanakijiji 26 Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Sep 18, 2016 11:07

    Msemaji wa Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema waasi wameua makumi ya wanakijiji katika mji mmoja ulioko katikati mwa nchi hiyo.

  • Maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wamekimbilia nchini Chad

    Maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wamekimbilia nchini Chad

    Aug 13, 2016 11:09

    Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imetangaza kuwa maelfu ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wamekimbilia nchini Chad.

  • UNSC yawasilisha azimio la kusitisha machafuko CAR

    UNSC yawasilisha azimio la kusitisha machafuko CAR

    Jul 28, 2016 00:21

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limewailisha azimio la kutaka kusimamishwa ghasia na machafuko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati haraka iwezekanavyo.

  • Watu kadhaa wauawa katika machafuko mapya CAR

    Watu kadhaa wauawa katika machafuko mapya CAR

    Jul 25, 2016 03:38

    Kwa akali watu watatu wameuawa katika wimbi jipya la mashambulizi ya makundi ya waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Utekaji nyara watu nchini CAR waongezeka na kuogofya raia

    Utekaji nyara watu nchini CAR waongezeka na kuogofya raia

    Jul 22, 2016 03:09

    Asasi za kiraia nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati zimeonyesha wasi wasi wake kufuatia zaidi ya watu 300 kutekwa nyara na wabeba silaha nchini humo.

  • Ufaransa kuondoa askari wake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Ufaransa kuondoa askari wake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jul 14, 2016 02:06

    Rais Francois Hollande wa Ufaransa ametangaza kuwa nchi yake itaondoa askari wake huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu.

  • Machafuko mapya yaibuka CAR, wengi wakimbia makazi yao

    Machafuko mapya yaibuka CAR, wengi wakimbia makazi yao

    Jul 08, 2016 08:38

    Machafuko mapya yameibuka Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuwalazimu maelfu ya watu kukimbia makazi yao na kutafuta hifadhi katika nchi jirani za Chad na Cameroon.

  • Wanajeshi wa Uganda watuhumiwa kutumia mabavu dhidi ya raia CAR

    Wanajeshi wa Uganda watuhumiwa kutumia mabavu dhidi ya raia CAR

    Jul 06, 2016 09:34

    Msemaji wa Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewatuhumu wanajeshi wa Uganda walioko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwamba, wamekuwa wakitumia mabavu dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Sisitizo la kuharakishwa mwenendo wa kupokonywa silaha  wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Sisitizo la kuharakishwa mwenendo wa kupokonywa silaha wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jul 06, 2016 01:41

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuharakishwa mwenendo wa upokonywaji silaha makundi ya wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS