-
Serikali ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati yajiuzulu
Jun 11, 2021 07:50Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Firmin Ngrébada ametangaza kujiuzulu yeye pamoja na serikali yake.
-
UN: Kuna ongezeko la hatari kwa watoto nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati
Apr 28, 2021 08:00Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF, nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, amesema watoto 370,000 kwa sasa ni wakimbizi wa ndani nchini kote kwa sababu ya vurugu zinazoendelea na ukosefu wa usalama.
-
AU yashtushwa na machafuko ya baada ya uchaguzi CAR
Feb 21, 2021 07:45Umoja wa Afrika umeeleza wasi wasi wake kutokana na kushtadi machafuko ya baada ya uchaguzi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Usalama umerejea katika mji wa Bangassou Jamhuri ya Afrika ya Kati
Feb 05, 2021 07:19Shughuli za kibiashara zimerejea tena katika mji wa Bangassou, nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR baada ya askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wa ujumbe wa umoja huo nchini humo, MINUSCA kuimarisha doria ili kudhibiti vitisho vyovyote kutoka kwa waasi waliosababisha maelfu ya watu kukimbia makwao kufuatia mashambulizi ya mwezi uliopita wa Januari.
-
Machafuko ya uchaguzi yafanya laki 2 wawe wakimbizi CAR
Jan 30, 2021 08:02Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema watu zaidi ya 200,000 wamefurushwa au wamelazimika kuyahama makazi yao katika kipindi cha miezi miwili iliyopita kutokana na machafuko ya uchaguzi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Waasi 44 wauawa na jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 26, 2021 07:29Jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati limetangaza habari ya kuua waasi 44 waliokuwa na nia ya kuzingira na kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui sambamba na kuipindua serikali ya Rais Faustin Archange Toudera wa nchi hiyo.
-
Askari 2 wa UN wauawa CAR baada ya mahakama kuidhinisha ushindi wa Touadera
Jan 19, 2021 11:41Genge la waasi limeua wanajeshi wawili wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA), masaa machache baada ya Mahakama ya Katiba kuidhinisha matokeo ya uchaguzi wa rais wa Disemba mwa uliopita, yaliyompa ushindi Faustin Archange Touadera.
-
Askari mwingine wa UN raia wa Burundi auawa CAR, wawili wajeruhiwa
Jan 16, 2021 13:20Askari mwingine wa Umoja wa Mataifa kutoka Burundi ameuawa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR na wengine wawili wamejeruhiwa, kitendo ambacho kimelaaniwa vikali na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres.
-
Waasi wafanya mashambulio mawili dhidi ya mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 13, 2021 11:49Wanamgambo wa makundi ya waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefanya mashambulio mawili alfajiri ya kuamkia leo katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo Bangui kwa lengo la kuuteka mji huo.
-
Wapinzani Jamhuri ya Afrika ya Kati wapinga matokeo ya uchaguzi
Jan 06, 2021 08:19Wapinzani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamepinga matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika hivi karibuni, wakidai ulikumbwa na dosari.