Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • 7 wauawa baada ya waasi kushambulia kambi za jeshi CAR

    7 wauawa baada ya waasi kushambulia kambi za jeshi CAR

    Jul 01, 2021 03:08

    Watu wasiopungua saba wameuawa katika msururu wa mashambulio ya genge moja la waasi mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Russia yakanusha kuhusika wakufunzi wake wa kijeshi na mauaji huko CAR

    Russia yakanusha kuhusika wakufunzi wake wa kijeshi na mauaji huko CAR

    Jun 29, 2021 06:51

    Ikulu ya Russia (Kremlin) imekanusha madai kwamba wakufunzi wa kijeshi wa nchi hiyo waliopo nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wamehusika katika mauaji ya raia na kupora mali za watu majumbani.

  • UN yakosoa mienendo ya vikosi vya usalama vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yakosoa mienendo ya vikosi vya usalama vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 17, 2021 02:21

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewakosoa vikali maafisa usalama wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, kwa kile alichokitaja kuwa kushtadi mienendo ya kiuhasama na vitisho dhidi ya askari wa kulinda amani wa umoja huo nchini humo.

  • Serikali ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati yajiuzulu

    Serikali ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati yajiuzulu

    Jun 11, 2021 03:20

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Firmin Ngrébada ametangaza kujiuzulu yeye pamoja na serikali yake.

  • UN: Kuna ongezeko la hatari kwa watoto nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN: Kuna ongezeko la hatari kwa watoto nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 28, 2021 03:30

    Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF, nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, amesema watoto 370,000 kwa sasa ni wakimbizi wa ndani nchini kote kwa sababu ya vurugu zinazoendelea na ukosefu wa usalama.

  • AU yashtushwa na machafuko ya baada ya uchaguzi CAR

    AU yashtushwa na machafuko ya baada ya uchaguzi CAR

    Feb 21, 2021 04:15

    Umoja wa Afrika umeeleza wasi wasi wake kutokana na kushtadi machafuko ya baada ya uchaguzi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Usalama umerejea katika mji wa Bangassou Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Usalama umerejea katika mji wa Bangassou Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 05, 2021 03:49

    Shughuli za kibiashara zimerejea tena katika mji wa Bangassou, nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR baada ya askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wa ujumbe wa umoja huo nchini humo, MINUSCA kuimarisha doria ili kudhibiti vitisho vyovyote kutoka kwa waasi waliosababisha maelfu ya watu kukimbia makwao kufuatia mashambulizi ya mwezi uliopita wa Januari.

  • Machafuko ya uchaguzi yafanya laki 2 wawe wakimbizi CAR

    Machafuko ya uchaguzi yafanya laki 2 wawe wakimbizi CAR

    Jan 30, 2021 04:32

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema watu zaidi ya 200,000 wamefurushwa au wamelazimika kuyahama makazi yao katika kipindi cha miezi miwili iliyopita kutokana na machafuko ya uchaguzi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Waasi 44 wauawa na jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Waasi 44 wauawa na jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 26, 2021 03:59

    Jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati limetangaza habari ya kuua waasi 44 waliokuwa na nia ya kuzingira na kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui sambamba na kuipindua serikali ya Rais Faustin Archange Toudera wa nchi hiyo.

  • Askari 2 wa UN wauawa CAR baada ya mahakama kuidhinisha ushindi wa Touadera

    Askari 2 wa UN wauawa CAR baada ya mahakama kuidhinisha ushindi wa Touadera

    Jan 19, 2021 08:11

    Genge la waasi limeua wanajeshi wawili wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA), masaa machache baada ya Mahakama ya Katiba kuidhinisha matokeo ya uchaguzi wa rais wa Disemba mwa uliopita, yaliyompa ushindi Faustin Archange Touadera.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS