-
UN: Hali ya raia CAR inatia wasiwasi
Sep 04, 2018 02:19Ofisi ya huduma za misada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeripoti kuwa hali ya wakazi wa mji wa Alindao huko kusini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ni mbaya sana kutokana na mapigano yanayoendelea baina ya makundi ya waasi katika eneo hilo.
-
Russia yasaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi na Jamhuri ya Afrika ya Kati
Aug 21, 2018 09:12Russia na Jamhuri ya Afrika ya Kati leo Jumanne zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi yanayofungua njia kwa Moscow ya kuendelea kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Baraza la Usalama lalaani vitendo vya mabavu dhidi wasimamia amani CAR
Aug 11, 2018 22:05Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani kuongezeka mashambulio na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya kikosi cha kusimamia amani cha UN katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, MINUSCA.
-
Uchunguzi kuhusu mauaji ya wanahabari Warussia nchini CAR
Aug 03, 2018 20:56Uchunguzi umeanzishwa kuhusu mauaji ya waandishi wa habari watatu raia wa Russia ambao walikwenda Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) kuchunguza suala la kuwepo kitengo cha askari mamluki wa Wagner.
-
Wanamgambo wa Bemba washtakiwa CAR + Sauti
Jun 11, 2018 11:01Wahanga wa mashambulizi ya wanamgambo wa Jean Pierre Bemba huko Jamhuri ya Afrika ya Kati wameamua kufungua kesi dhidi ya makamanda wa kundi hilo pamoja na Jenerali mmoja wa Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC. Maelezo zaidi yamo ndani ya ripoti ya mwandishi wetu Mossi Mwasi.
-
UN yalaani mauaji ya mlinda amani wake Mtanzania katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jun 05, 2018 02:50Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani mauaji ya mlinzi wa amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
MINUSCA yatuhumiwa kuua raia 16 Jamhuri ya Afrika ya Kati (RIPOTI)
Jun 01, 2018 11:15Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Afrika ya kati MINUSCA kimelaumiwa na wapiganaji wa Seleka, kwa kuua watu 16 katika mji wa Bambari, ulioko mashariki mwa mji mkuu Bangui, mpakani na Uganda.
-
SAUTI, Bunge lapitisha muswada wa sheria ya kuruhusu kuanza shughuli za Mahakama ya Jinai nchini humo
May 30, 2018 11:34Bunge la Jamhuri ya Afrika ya Kati limepitisha muswada ambao kwa mujibu wake utaruhusu kuanza kufanya kazi kwa mahakama maalumu ya jinai nchini humo.
-
UN: Migogoro yaifanya robo ya wananchi wa CAR kuwa wakimbizi
May 30, 2018 03:22Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imesema mapigano na migogoro imeifanya asilimia 25 ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.
-
Tahadhari ya UN kuhusu mapigano zaidi CAR
May 09, 2018 09:44Ghasia zinazidi kupamba moto nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR jambo ambalo linamtia hofu kubwa Kamishna Mkuu wa haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa, Zeid Ra’ad Al Hussein